Wizara ya Maji

MZEE EDWARD PETER MAGANGA VIJANA SIMAMENI KULINDA AMANI NA KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Mzee Edward Peter Maganga ametoa wito kwa vijana wa Tanzania kusimama imara kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa vitendo, hasa kwa kulinda amani na utulivu wa nchi. Amesema maendeleo yaliyofikiwa hadi sasa yametokana na kuheshimu utaratibu, sheria na misingi ya kidemokrasia ambayo imeijenga Tanzania kuwa taifa lenye mshikamano. …

Soma zaidi »

JE UNAJUA MAJI NI UHAI UNAOLINDA AFYA NA MAZINGIRA

Maji ni rasilimali muhimu inayochangia moja kwa moja katika afya ya binadamu na uhai wa mazingira yetu. Upatikanaji wa maji safi na salama husaidia kuzuia magonjwa, kuimarisha lishe, na kuboresha hali ya maisha kwa ujumla. Mbali na afya, maji yana mchango mkubwa katika kulinda mazingira kwa kusaidia ukuaji wa mimea, …

Soma zaidi »

MRISHO MPOTO AELEZA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA MAJI.

Katika video hii, Msanii na Mwanaharakati wa Jamii, Mrisho Mpoto, anazungumzia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta ya maji nchini. Kupitia juhudi za serikali na wadau mbalimbali, wananchi wengi sasa wanapata maji safi na salama, jambo ambalo limeleta mabadiliko chanya katika afya, kilimo, na maendeleo ya kijamii. Mpoto anaeleza jinsi miradi …

Soma zaidi »

MAPINDUZI KATIKA SEKTA YA MAJI

Sekta ya maji imepitia mageuzi makubwa yanayolenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi. Kupitia uwekezaji wa kisasa, matumizi ya teknolojia bunifu, na usimamizi bora wa rasilimali za maji, serikali na wadau mbalimbali wamefanikiwa kupunguza changamoto za uhaba wa maji. Maboresho haya yanajumuisha ujenzi wa mabwawa mapya, usanifu …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AAGIZA KUSHUGHULIKIWA KWA WATUMISHI WATAKAOKWAMISHA UTEKELEZAJI SERA YA ARDHI.

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi kusimama kidete kuwashughulikia watendaji wa Wizara hiyo ambao wamekuwa kikwazo na sababu ya malalamiko mengi ya wananchi na hivyo kukwamisha dhamira njema ya kuwaletea wananchi ustawi. Akizungumza …

Soma zaidi »

WAKAZI WA WILAYA YA LUSHOTO WAFURAHISHWA NA UJIO WA MHE. RAIS, WAAHIDI KUMPIGIA KURA OCTOBA 2025.

Wakazi hao wameeleza hayo kutokana na kuridhishwa na utekelezwaji wa miradi ya maji, barabara, afya, kilimo na ujenzi wa jengo la utawala ya Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli ambalo litatumika kutoa huduma kwa wananchi.Pia, vijana wa Lushoto wanatarajia/waliotimiza miaka 18 wamewasihi vijana wenzao katika maeneo mbalimbali nchini kujiandikisha kwenye daftari …

Soma zaidi »

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akikagua mabanda ya maonesho ya wadau wa sekta ya maji nje ya Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam kabla ya kufungua Kongamano la Nne la Kimataifa la Kisayansi la Maji linalofanyika kwa siku tatu kuanzia Jumatano Januari 29, 2025 mpaka Ijumaa Januari 31, 2025

Soma zaidi »

Tanzania Yapiga Hatua Kubwa katika Miradi ya Maji, Zaidi ya Miradi 1,500 Yakamilika Vijijini na Mijini.

Tanzania imefanya maendeleo makubwa katika miradi ya maji, na hadi sasa, miradi mingi imekamilika ili kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi katika maeneo mbalimbali. Hapa kuna takwimu na taarifa za baadhi ya miradi ya maji iliyokamilika. Miradi ya Maji Vijijini: Zaidi ya miradi 1,500 imekamilika katika vijiji, …

Soma zaidi »

Serikali ya Tanzania imewekeza katika miradi mbalimbali ya maji kwa lengo la kufikia upatikanaji wa maji safi na salama kwa asilimia 100 ifikapo mwaka 2030. Hii hapa ni baadhi ya miradi muhimu iliyotekelezwa hadi sasa pamoja na madhumuni na mafanikio yake

Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria: Mradi huu unalenga kusambaza maji kutoka Ziwa Victoria hadi mikoa ya Shinyanga, Tabora, na Singida. Umechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza upatikanaji wa maji katika maeneo ya mijini na vijijini, ukiwa na uwezo wa kuhudumia maelfu ya wakazi ambao hapo awali walikosa huduma hii muhimu. …

Soma zaidi »