BUNGE LA TANZANIA

HOTUBA ZA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA TATU WA MAENDELEO WA TAIFA WA MIAKA MITANO

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Mwigulu Nchemba na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwanaidi Ali Khamis wakichukua hoja wakati wa mjadala wa Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26 na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU ATOA SIKU TATU RIPOTI YA WATUMISHI WANAOISHI NJE YA VITUO VYAO IMFIKIE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ifuatilie Halmashauri zilizopaswa kuhamia kwenye maeneo yake na impatie taarifa ifikapo Jumamosi, Februari 6, 2021. Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo (Alhamisi, Februari 4, 2021) wakati akijibu swali la mbunge wa Geita Vijijini, Joseph …

Soma zaidi »

KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAKUTANA NA WATENDAJI OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajirana Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama akiwasilisha maelezo ya Ofisiya Waziri Mkuu kuhusu Muundo na Majukumu ya Ofisi hiyo, Sera, Uratibuna Bunge pamoja na Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu mbele yaWajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya …

Soma zaidi »

KAMATI YA BUNGE YA SHERIA NDOGO YAKUTANA NA WATENDAJI OFISI YA RAIS TAMISEMI JIJINI DODOMA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. David Silinde (Katikati,) akiwa katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma, kulia ni KatibuMkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Joseph Nyamhanga. Wizara hiyoiliwasilisha mada kuhusu Mchakato wa utungaji wa Sheria Ndogo zaHalmashauri. …

Soma zaidi »

KAMATI YA MIUNDOMBINU YAPONGEZA WIZARA KUANZA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO YA VIFURUSHI

Na Prisca Ulomi, WMTH Wizara Mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iliyoundwa tarehe 5 Desemba, 2020 imekutana kwa mara ya kwanza na kufanya kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Dodoma Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amesema kuwa menejimenti na wakuu wa …

Soma zaidi »

DKT GWAJIMA AWASILISHA MAJUKUMU, MUUNDO WA WIZARA YA AFYA KWA KAMATI YA BUNGE

Na Mwandishi wetu, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, kwa mara ya kwanza imekutana na wataalam wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na kupokea taarifa za Muundo na majukumu ya Idara na vitengo ndani ya Wizara hiyo. Taarifa hiyo …

Soma zaidi »

KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS -MUUNGANO

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira Mwita Waitara akizungumza wakati wa kikao cha kupokea na kujadili Taarifa kuhusu muundo na majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Kamati ya Kudumu ya Katiba na Sheria katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma leo Januari 20,2021. Kushoto ni Naibu …

Soma zaidi »

WABUNGE WAMPONGEZA KASSIM MAJALIWA KUPITISHWA JINA LAKE KUCHAGULIWA KUWA WAZIRI MUU

Aliyekuwa Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackoson, ameshinda tena nafasi hiyo kwa kupata kura 350 kati ya Kura 354 zilizopigwa. Naibu Spika wa bunge la 12 Dk.Tulia Ackson kupitia CCM akiwashukuru wabunge waliomchagua kwa kishindo wakati wa Bunge la 12 Jijini Dodoma leo …

Soma zaidi »

UTIAJI SAINI HOJA ZA MAKUBALIONO MUUNGANO

Kikao cha Utiaji saini Hati za makubaliano ya kuondoa Hoja za Muungano zilizopatiwa ufumbuzi, ambapo Hoja 5 zimeondolewa ikiwemo ushirikishwaji wa SMZ kwenye masuala ya Kimataifa na Kikanda na Biashara, Hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam. Kikao cha Utiaji saini …

Soma zaidi »