Chemka Hot Spring ni moja ya maajabu ya asili yanayopatikana Tanzania! 🌿💦 Je, umewahi kujiuliza kwanini maji haya yanaonekana kuchemka bila moto? Katika video hii, tunachunguza historia, siri, na uzuri wa Chemka Hot Spring, chanzo chake cha ajabu, na sababu inayoyafanya kuwa kivutio kikubwa kwa watalii.
Soma zaidi »“MKOA WA ARUSHA NI MKOA MAMA WA MIKUTANO YA KIMATAIFA” MAKONDA.
Tunamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kuhakikisha Arusha inazidi kung’ara kama kitovu cha mikutano ya kimataifa. Uwekezaji mkubwa katika miundombinu na mazingira bora ya mikutano umeifanya Arusha kuwa chaguo kuu kwa matukio makubwa ya kimataifa, kukuza utalii, biashara, na diplomasia. 🔹 Tazama picha chache kutoka kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani …
Soma zaidi »MANDHARI YA TANZANIA INANG’AA KATIKA “MUFASA: THE LION KING” – UBUNIFU WA DRONE ULIPIGWA NA MTANZANIA KAKA MUSSA UNALETA HADITHI TAMU YA AFRIKA:
Katika hatua ya kipekee ya kuonyesha uzuri wa mazingira ya Afrika, filamu ya kimataifa Mufasa: The Lion King imeleta mabadiliko makubwa katika jinsi hadithi ya kifalme ya simba inavyoonyeshwa. Mchanganyiko huu wa mandhari halisi na hadithi ya kusisimua unaleta uzuri wa Afrika, ukionyesha maeneo ya kipekee kutoka kwenye majangwa ya Namibia hadi …
Soma zaidi »Ushiriki wa Tanzania katika Utayarishaji wa Filamu ya Kimataifa
Mafanikio ya Mufasa: The Lion King yamepata uzito mkubwa kutokana na mchango wa wataalamu wa Tanzania. Mtayarishaji maarufu Mussa Ally Mbwego (Mussa Kaka) ameongeza umaarufu wa nchi yetu kupitia utumiaji wa teknolojia ya kisasa katika utayarishaji wa filamu. “Ni heshima kubwa kwangu kuwakilisha Tanzania katika mradi huu wa kimataifa, ambapo tunahakikisha kuwa …
Soma zaidi »Tanzania: Kituo cha Mazingira Bora na Utamaduni wa Filamu
Wakurugenzi na wasanii wa filamu wamepewa wito wa kuwa walinzi wa picha njema za Tanzania. Wamehimiza watayarishaji wa ndani kuendelea kushirikiana katika utayarishaji wa filamu za kigeni, hasa pale ambapo nchi yetu inapowakilishwa vibaya. “Tunapaswa kuwa waangalifu na kuhakikisha kwamba hadithi za Tanzania zinawakilishwa kwa uhalisia na uzuri wake wa …
Soma zaidi »Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeingia makubaliano na Shirika la Ndege la Uturuki (Turkish Airlines) ili kutangaza utalii wa Tanzania duniani kupitia safari za ndege za shirika hilo
Makubaliano hayo yalifanyika Januari 8, 2024, jijini Dar es Salaam, yakiwa na lengo la kuongeza idadi ya watalii na wawekezaji katika sekta ya utalii nchini. Mkurugenzi Mkuu wa TTB, Ephraim Mafuru, amesema wamechagua shirika hilo la ndege kutokana na kuwa na ndege zaidi ya 490 na kufanya safari zake katika …
Soma zaidi »Vivutio vya utalii nchini Tanzania ni moja ya sekta zinazochangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa
Takwimu za utalii nchini Tanzania zinadhihirisha ukuaji na mchango wa sekta hii, hasa kupitia mbuga za wanyama, fukwe, na maeneo ya kihistoria. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo
Soma zaidi »Maonyesho ya Land Rover Arusha yameingia kwenye kumbukumbu za rekodi za Dunia, jambo linaloashiria mafanikio makubwa katika sekta ya magari na pia umuhimu wa Tanzania, hasa Arusha, kama kitovu cha biashara ya magari barani Afrika. Tukio hili la kuvutia linaashiria mambo mengi muhimu
1. Umaarufu wa Land Rover: Land Rover ni chapa inayohusishwa na ubora wa magari ya hali ya juu, hasa kwa safari za nje ya barabara (off-road). Maonyesho haya yanasisitiza umaarufu wa gari hili sio tu kwa wapenzi wa magari lakini pia kwa sekta ya biashara, utalii, na uchukuzi wa mizigo …
Soma zaidi »Je! Unafahamu mchango wa Ruvuma Katika kutunza Maliasili na Kudumisha Mila na Desturi za Tanzania?
UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA UTALII
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeunga mkono agenda za Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika rasilimali watu kwenye elimu na ujuzi pamoja na agenda ya usalama wa maeneo ya utalii lengo likiwa ni kuibadilisha Afrika kwa siku zijazo kupitia ujuzi wa elimu na …
Soma zaidi »