Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatoa mwongozo muhimu kuhusu haki, wajibu, na misingi ya kufanya kazi katika nchi hii. Kwa kuzingatia miongozo hii, tunaweza kujenga mjadala kuhusu jinsi ya kutumia vipaji vyetu kama msingi wa mafanikio kwa kufuata misingi ya katiba. Uhuru wa Kufanya Kazi Katiba ya Tanzania …
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 07, 2024 ameongoza Mkutano wa kazi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri uliofanyika kwenye ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma.
Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko.
Soma zaidi »Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Taasisi ya Huduma za Afya Aga Khan, Mwana Mfalme Bi. Zahra Aga Khan
HERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI, MEI MOSI
Tunawatakia Watanzania wote Heri ya Siku ya Wafanyakazi, Mei Mosi! Ni siku muhimu ya kuenzi mchango wa wafanyakazi katika kujenga taifa letu na kutambua haki zao. Tunatumai kila mtu anaweza kusherehekea siku hii kwa furaha na matumaini ya siku zijazo zenye mafanikio zaidi. #Tanroads #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Sisinitanzania …
Soma zaidi »Serikali Yathibitisha Ujenzi wa Barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji Kuongezewa Urefu wa Kilometa 10
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amefichua kuwa serikali imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji, ambayo itaboresha miundombinu muhimu katika eneo hilo lenye umuhimu mkubwa. Akizungumza katika ziara yake ya kikazi huko Wilayani Kigamboni, Mkoani Dar es Salaam, Bashungwa alifichua kuwa …
Soma zaidi »Je, Ni Vipi Falsafa ya Uongozi ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Inavyozingatia Maadili, Uwajibikaji, na Maendeleo ya Jamii?
Falsafa ya uongozi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, inajikita katika maadili, utendaji wenye tija, na maendeleo ya jamii. Uwajibikaji na Uadilifu Mhe. Kassim Majaliwa anasisitiza uwajibikaji na uadilifu katika uongozi wake. Anaamini katika kuwa mfano bora wa kuigwa kwa viongozi wenzake na jamii …
Soma zaidi »SERIKALI YA TANZANIA YAFANYA MAZUNGUMZO NA MTAALAM WA UMOJA WA MATAIFA KUHUSU HAKI ZA WATU WENYE UALBINO
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amefanya mazungumzo na Mtaalam wa kujitegemea wa masuala ya haki za Watu wenye Ualbino kutoka Umoja wa Mataifa (UN Independent Expert on the Enjoyment of rights by Persons with Albinism), Bi. Muluka-Anne …
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kumuwakilisha Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Kwenye Kikao Cha Wakuu Wa Nchi Na Serikali Zisizofungamana Na Upande Wowote (NAM)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua moja ya mtambo uliotolewa na Serikali kwa Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini, (RUWASA) kwa ajili ya kuchimba visima Mkoani humo, alipofanya ziara katika ofisi za Mamlaka hiyo Januari 8, 2024.
PIKIPIKI ZILIZOTELEKEZWA KWA MIAKA MITATU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua pikipiki zilizotelekezwa kwenye stoo ya Wakala wa Maji na usafi na Mazingira Vijijini, Mkoa wa Lindi, alipofanya ziara katika ofisi zao. Pikipiki hizo zilinunuliwa mwaka 2021 kwa ajili ya kuzigawa kwa Jumuiya za Watumiaji maji Mkoa wa Lindi.
Soma zaidi »