WIZARA YA AFYA

Mitazamo ya Uongozi ya Mhe. Ummy Ally Mwalimu katika Sekta za Afya, Maendeleo ya Jamii, na Haki za Watoto

Ummy Ally Mwalimu ameonyesha mitazamo ya uongozi yenye mwelekeo wa kujali maendeleo na ustawi katika sekta mbalimbali alizoshughulikia. baadhi ya mitazamo ya kiuongozi aliyonayo katika sekta alizopewa dhamana ya kuzisimamia ni Pamoja na ifuatayo.  Katika sekta ya afya,  Ummy Mwalimu amejikita katika kuboresha huduma za afya na ustawi wa jamii. …

Soma zaidi »

Mhe Kassim Majaliwa Akiweka Jiwe La Msingi La Hospitali Kaskazini Unguja

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 11, 2024 ameweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Kaskazini “B”- Pangatupu, Mkoa wa Kaskazini Unguja, ujenzi wake umegharimu Tsh Bil. 6.7. Hii ni sehemu ya shamrashamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Soma zaidi »

VIFAA TIBA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA, MJINI MAGHARIBI LUMUMBA ZANZIBAR

Ufunguzi rasmi wa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Lumumba Zanzibar na kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 10 Januari, 2024. Ongezeko la vifaa tiba bora na vyakisasa katika Hospitali hii kutachangia Nini? Kuboresha Huduma za Afya  Ufunguzi …

Soma zaidi »