Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Luanda nchini Angola tarehe 08 Aprili, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea Makumbusho ya Rais wa kwanza na Muasisi wa Taifa la Angola, Hayati António Agostinho Neto katika eneo la Public Square Jijini Luanda, tarehe 08 Aprili, 2025
HOTUBA YA RAIS DKT. SAMIA KATIKA BARAZA LA EID EL-FITRI UKUMBI WA JNICC
EID MUBARAK WATANZANIA
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na wageni mbalimbali kwenye Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumika na waisalamu wengine kusali swala ya Eid katika kukamilisha ibada ya Mfungo wa Ramadhan katika Msikiti wa Mohamed VI uliopo katika Makao Makuu ya BAKWATA Kinondoni Jijini Dar kwa ajili ya kuswali Swala ya Eid El Fitr
ARUSHA IMEFUNGUKA.
TEMBELEA , HIFADHI ZA TAIFA NA HAPA NI NYUMBANI.
Soma zaidi »TUIDUMISHE AMANI KWA KUSHIRIKI UCHAGUZI – SALIM MZEE SEIFU
Salim Mzee Seifu amepongeza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akieleza jinsi ambavyo huduma za elimu, maji na miundombinu ya barabara zimeboreshwa kwa kiwango kikubwa katika mji wa Sumbawanga. Amesema maendeleo haya yanaonesha dhamira ya kweli ya serikali katika kuinua maisha ya …
Soma zaidi »HOTUBA YA MAKONDA ILIYOWALIZA WANANCHI MPAKA MACHOZI: UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA.
Hotuba hii ya Paul Makonda imewagusa wengi kwa kina! 💔 Katika uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria, Makonda amezungumza kwa hisia kali kuhusu haki, uonevu, na umuhimu wa msaada wa kisheria kwa wananchi wasio na uwezo wa kupata uwakilishi wa kisheria. 🎤 Katika hotuba hii, utashuhudia: ✅ …
Soma zaidi »