Uongozi wenye upendo na hekima ni msingi imara wa maendeleo ya jamii yoyote. Katika Tanzania, viongozi wameonyesha umahiri wa kujenga mshikamano na kuimarisha uhusiano kati yao na wananchi. Kwa mfano, Rais amejitahidi kusikiliza na kutatua matatizo ya wananchi kwa kuweka sera na mipango endelevu inayolenga kuboresha maisha ya watu wote. …
Soma zaidi »JE, KATIKA MUKTADHA WA KATIBA YA TANZANIA, NI VIPI TUNU KUU ZA HAKI, USAWA, UMOJA, NA MAENDELEO ZINAVYOWEZA KUCHANGIA KATIKA KUJENGA JAMII YENYE USTAWI KWA WANANCHI WOTE?
Katiba ya Tanzania inajenga msingi imara wa tunu kuu za taifa ambazo zinafafanua misingi ya haki, usawa, umoja, na maendeleo ya wananchi wote. Uhuru na Haki Katiba inatambua haki za msingi za kila Mtanzania, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujieleza (Ibara ya 18), uhuru wa kujumuika (Ibara ya 20), …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Ndugu Daniel Fransisco Chapo
Ikuli jijini Dodoma Juni 12 2024.
Soma zaidi »KAMPUNI ZA TANZANIA NA CHINA KUSHIRIKIANA KWA PAMOJA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UJENZI
Tanzania na China zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja kwa kuyawezesha Makampuni ya Tanzania kupewa sehemu ya kazi za ujenzi kutoka kwa Makampuni ya Kichina yatakayopewa kazi ya kutekeleza miradi ya ujenzi nchini. Makubaliano hayo yamefikiwa leo Mei 20, 2024 …
Soma zaidi »Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Biashara, Uchumi, Nchi zinazozungumza Kifaransa na Wafaransa waishio nje ya nchi, Mhe. Frank Reister katika ofisi za Wizara jijini Paris, Ufaransa tarehe 15 Mei, 2024.
Mawaziri hao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha ushirikiano kwenye masuala ya biashara na uwekezaji ambapo, Mhe. Makamba ametumia fursa hiyo kuukaribisha Ujumbe wa Wafanyabiashara utakaongozwa na Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Ufaransa (MEDEF) unaotarajia kushiriki kwenye Jukwaa la Biashara linalotarajia kufanyika kuanzia tarehe 27 hadi 29 Mei, 2024 jijini Dar …
Soma zaidi »Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Taasisi ya Huduma za Afya Aga Khan, Mwana Mfalme Bi. Zahra Aga Khan
MH. RAIS SAMIA SULUHU KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA JIJINI NAIROBI KENYA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. Dkt. William Ruto mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) Jijini Nairobi nchini Kenya tarehe 29 Aprili, 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano …
Soma zaidi »Serikali ya Tanzania na Czech Zakubaliana Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili
Serikali za Tanzania na Czech kukuza ushirikiano wa kiuchumi na kuvutia uwekezaji kati yao. Kuondoa utozaji wa kodi mara mbili kunahamasisha biashara na uwekezaji wa moja kwa moja (FDI) kwa kuifanya nchi ya Tanzania kuwa mahali bora zaidi kwa wawekezaji wa Kicheki. Hii inaweza kusababisha ukuaji wa uchumi na kujenga …
Soma zaidi »“Nani aliyeunda Jumuiya ya Madola na kwa nini?”
Malkia Elizabeth II pamoja na mawaziri wake wakuu wa Jumuiya ya Madola mwaka 1962. Picha: Alamy Nani aliyeunda Jumuiya ya Madola na kwa nini? Katika mkutano wa mwaka 1926, Uingereza na Himaya zake zilikubaliana kwamba wote walikuwa wanachama sawa wa jamii ndani ya Himaya ya Kiingereza. Wote walikuwa wana wajibu …
Soma zaidi »SERIKALI YA TANZANIA YAFANYA MAZUNGUMZO NA MTAALAM WA UMOJA WA MATAIFA KUHUSU HAKI ZA WATU WENYE UALBINO
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amefanya mazungumzo na Mtaalam wa kujitegemea wa masuala ya haki za Watu wenye Ualbino kutoka Umoja wa Mataifa (UN Independent Expert on the Enjoyment of rights by Persons with Albinism), Bi. Muluka-Anne …
Soma zaidi »