“ Mkifanyabiashara maana yake mahitaji ya nishati ya umeme yanaongezeka na hii ni kwa sababu viwanda vingi vimejengwa na uchumi unachangamka. Tunaanza kuona wananchi wanatumia umeme megawati 52 na viwanda vinatumia megawati 48 hii ni kiashiria kuwa uchumi unaendelea kukua vizuri,” amebainisha Dkt. Biteko.
Soma zaidi »TANZANIA IMESAMBAZA UMEME VIJIJI 12,300 ILI KULINDA MAZINGIRA
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewleza kuwa Tanzania imesambaza umeme katika vijiji karibia 12,300 kama hatua ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Aftika Mashariki.
Soma zaidi »Tathmini ya Mradi wa Umeme wa Gesi Asilia wa Kinyerezi I na II na Mchango wake kwa Maendeleo ya Tanzania
Bofya link hapo chini , tuendelee kupata taarifa hii https://matokeochanya.blogspot.com/2024/11/tathmini-ya-mradi-wa-umeme-wa-gesi.html…#MSLAC#Katibanasheria#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya
Soma zaidi »Serikali ya Tanzania Yakaribisha Wawekezaji Sekta ya Nishati Kuimarisha Uzalishaji na Usambazaji wa Nishati
Oktoba 21, 2023, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania, Mhe. Dkt. Doto Biteko, akiwa nchini Singapore, ametoa mwaliko kwa wawekezaji wa sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya nishati ya Tanzania. Akizungumza kwenye mjadala wa kimataifa wa nishati uliohudhuriwa na mawaziri wa nishati kutoka nchi mbalimbali, Dkt. Biteko …
Soma zaidi »Tanzania imekuwa ikifanya maendeleo makubwa katika miradi ya nishati ili kuongeza uzalishaji wa umeme na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika.
Mradi wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP): Ujenzi wa mradi huu wa kuzalisha MW 2,115 umekamilika kwa zaidi ya asilimia 85. Unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa umeme na kuchangia zaidi ya MW 2,100 kwenye gridi ya taifa, hivyo kuzalisha umeme wa kutosha kwa nchi nzima. Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi …
Soma zaidi »RAIS SAMIA ATEMBELEA KITUO CHA KUPOOZA UMEME IFAKARA, ATAKA UIMARISHWAJI WA MIUNDOMBINU YA NISHATI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya ziara katika kituo cha kupooza umeme kilichopo Ifakara, mkoani Morogoro. Ziara hii ililenga kukagua maendeleo na ufanisi wa kituo hicho ambacho kinapokea laini mbili za umeme kutoka vyanzo vya Kidatu na Kihansi. Kituo cha kupooza umeme cha Ifakara …
Soma zaidi »KUBADILISHA SEKTA YA MADINI YA TANZANIA NA MADINI MKAKATI
Tanzania, moja ya nchi zenye rasilimali nyingi za madini duniani, inachukua hatua kubwa katika kusimamia na kutumia madini yake mkakati ili kuendeleza uchumi wake. Katika suala la madini muhimu, Tanzania ina utajiri wa Madini ya Nchi Adimu (REEs), Graphite, Nickel, Cobalt, na Heavy Mineral Sands. Rasilimali hizi za asili ni …
Soma zaidi »MTAMBO NAMBA 8 TOKA KWENYE BWAWA LA KUFUA UMEME LA JULIUS NYERERE UMEWASHWA RASMI
Mtambo namba 8 toka kwenye bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere Umewashwa rasmi, na sasa Jumla ya Megawati 470 zinazalishwa toka kwenye bwawa hilo na tayari zimeingizwa kwenye gridi ya taifa.
Soma zaidi »Serikali Inachochea Matumizi Mbadala Ya Nishati Kwa Faida Ya Mazingira Na Afya Za Watanzania.
Katiba inaweka wajibu kwa serikali kuhakikisha matumizi endelevu ya rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi wote. Hivyo, serikali inachochea matumizi mbadala ya nishati kwa faida ya mazingira na afya za Watanzania.
Soma zaidi »HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI MUUNGANO NA MAZINGIRA DKT SELEMAN JAFO UZINDUZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA
UZINDUZI WA MKAKATI WA TAIFA WA MATUMIZI YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA 2024-2034 Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034″ ni mpango mpana uliowekwa na serikali ya Tanzania kuboresha matumizi ya nishati safi kwa kupikia. Mkakati huu unalenga kufikia asilimia 80 ya Watanzania watumie …
Soma zaidi »