Tarehe 21 Mei 2024, Kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) limepata heshima ya kuwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kama mgeni rasmi. Kongamano hili ni jukwaa muhimu ambalo linawakutanisha wanahabari wa mitandao ya kijamii kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania ili kujadili masuala muhimu ya kijamii, …
Soma zaidi »WIZARA, TAASISI ZAAGIZWA KUZINGATIA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wizara, Taasisi, Mamlaka, wadau na sekta binafsi zimeagizwa kuzingatia matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ili kulinda mazingira na athari nyingine zinazotokana na nishati isiyo safi. Agizo hilo limetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo (Mei 8, 2024) Jijini Dar es salaam …
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 07, 2024 ameongoza Mkutano wa kazi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri uliofanyika kwenye ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma.
Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko.
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ni siku maalum kwa ajili ya wafanyakazi kutafakari na kutathmini namna walivyotekeleza malengo waliyojiwekea katika mwaka husika.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa ajili ya maandimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI)
Arusha Tanzania Mei Mosi, 2024
Soma zaidi »Je, Ni Vipi Falsafa ya Uongozi ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Inavyozingatia Maadili, Uwajibikaji, na Maendeleo ya Jamii?
Falsafa ya uongozi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, inajikita katika maadili, utendaji wenye tija, na maendeleo ya jamii. Uwajibikaji na Uadilifu Mhe. Kassim Majaliwa anasisitiza uwajibikaji na uadilifu katika uongozi wake. Anaamini katika kuwa mfano bora wa kuigwa kwa viongozi wenzake na jamii …
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la wa jengo la Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA). Ujenzi wa jengo hilo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 6.17 na linatarajiwa kukamilika ifikapo Januari 2025.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kumuwakilisha Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Kwenye Kikao Cha Wakuu Wa Nchi Na Serikali Zisizofungamana Na Upande Wowote (NAM)
Mhe Kassim Majaliwa Akiweka Jiwe La Msingi La Hospitali Kaskazini Unguja
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 11, 2024 ameweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Kaskazini “B”- Pangatupu, Mkoa wa Kaskazini Unguja, ujenzi wake umegharimu Tsh Bil. 6.7. Hii ni sehemu ya shamrashamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Soma zaidi »