UCHUMI

MLELE SASA IMEFUNGUKA, NA TUNAONA MAENDELEO KATIKA SEKTA MBALIMBALI, SERIKALI YETU KWELI IPO KAZINI

Rais Wa Wa Jamhuri Ya Muungno Wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Amezungumza Na Wananchi Wa Kijiji Cha Inyonga Kilichopo Wilayani Mlele Mkoani Katavi Baada Ya Kuzindua Kitua Cha Kupooza Umeeme Cha Gridi Ya Taifa Cha Mlele , Ambapo Ameewataka Wananchi Kutunza Mazingira Na Kuacha Kuchoma Misitu Hovyo. Aidha …

Soma zaidi »

Ahadi zote Tunaona Utekelezwaji Wake, Hasa Miradi Muhimu ya Kujenga Na Kuimarisha Uchumi wa Tanzania

Rais Wa Wa Jamhuri Ya Muungno Wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Amezungumza Na Wananchi Wa Kijiji Cha Inyonga Kilichopo Wilayani Mlele Mkoani Katavi Baada Ya Kuzindua Kitua Cha Kupooza Umeeme Cha Gridi Ya Taifa Cha Mlele , Ambapo Ameewataka Wananchi Kutunza Mazingira Na Kuacha Kuchoma Misitu Hovyo. Aidha …

Soma zaidi »

ONGEZEKO LA BAJETI YA KILIMO NA UTOAJI WA PEMBEJEO NA MAFUNZO KWA WAKULIMA, HATUA CHANYA KWA MAENDELEO YA TANZANIA

Hizi ni hatua chanya katika ujenzi wa Tanzania. Ongezeko la bajeti ya kilimo kutoka TZS bilioni 970.8 hadi TZS trilioni 1.24 linaonyesha dhamira ya serikali ya kuwekeza zaidi katika sekta muhimu ya kilimo. Hii itasaidia kuboresha uzalishaji na kuimarisha uchumi wa nchi. Vilevile, wakulima kupata pembejeo na mafunzo ni hatua …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakati wakiangalia baadhi ya bidhaa zilizopo katika Mabanda  mbalimbali ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #NEMC #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Soma zaidi »

SERIKALI YA TANZANIA YAENDELEA KULETA MAENDELEO KWA UWAZI NA UWAJIBIKAJI

Serikali ya Tanzania imechukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha uwajibikaji kwa mujibu wa Katiba ya nchi. 1. Utekelezaji wa Miradi ya Miundombinu Serikali imewekeza katika miradi mikubwa ya miundombinu kama vile barabara, reli, na viwanja vya ndege ili kuboresha usafiri na usafirishaji ndani ya nchi. Mradi wa reli ya kisasa (Standard …

Soma zaidi »

Serikali Yaandaa Mpango wa Mageuzi ya Sekta ya Mifugo ili Kukuza Ufugaji wa Kisasa Nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa Serikali imeandaa mpango wa mageuzi ya sekta ya mifugo ambao utasaidia kupunguza changamoto zinazokabili sekta hiyo nchini. Dkt. Biteko alitoa wito kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kubuni mbinu na mikakati ya kuondokana na ufugaji usio na …

Soma zaidi »

BAJETI KUU YA SERIKALI 2024-2025 KATIKA SEKTA MBALIMBALI ZA KIMAENDELEO NCHINI TANZANIA 

Msamaha wa Kodi kwa Trekta za Kilimo  Kuingiza trekta lenye ekseli moja kwenye wigo wa zana na vifaa vya kilimo vinavyopata msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ni hatua muhimu katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini. Marekebisho haya yanalenga kuboresha miundombinu ya kilimo na kufanya vifaa vya kisasa …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AWEKA MSISITIZO KATIKA MAGEUZI YA KUKUA KIUCHUMI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kuweka msisitizo juu ya muendelezo wa mageuzi katika Mashirika na Taasisi za Umma kwa lengo la kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi katika Taifa letu la Tanzania kwa manufaa ya Taifa na Watanzania wote kwa ujumla. Rais …

Soma zaidi »

Serikali ya Tanzania na Czech Zakubaliana Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili

Serikali za Tanzania na Czech kukuza ushirikiano wa kiuchumi na kuvutia uwekezaji kati yao. Kuondoa utozaji wa kodi mara mbili kunahamasisha biashara na uwekezaji wa moja kwa moja (FDI) kwa kuifanya nchi ya Tanzania kuwa mahali bora zaidi kwa wawekezaji wa Kicheki. Hii inaweza kusababisha ukuaji wa uchumi na kujenga …

Soma zaidi »