#MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »Uzinduzi wa Kiwanda cha kuchakata pamba cha Meatu
Uzinduzi wa Kiwanda cha kuchakata pamba cha Biosustain Meatu kinaongeza thamani ya pamba, Kuongeza kipato cha wakulima, Kutengeneza ajira, Kuimarisha kilimo endelevu, Kupunguza umasikini na kulinda mazingira. Pia Kinaendeleza sekta ya pamba kwa kutoa mafunzo na mbegu bora.
Soma zaidi »Je Unaifahamu Cocaine?
#NiulizeNikuiibu_DCEA #DCEA
Soma zaidi »UZINDUZI WA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO – BUSISIA
Asante Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wana Mwanza Tunakusubiri #SamiaAnajengaNchiInafunguka
Soma zaidi »SERIKALI KUTOA RUZUKU KWA WAFUGAJI
Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu ameeleza kuwa Serikali itagharamia 100% chanjo ya Kuku, uwekaji hereni na 50% ya gharama ya chanjo ya wanyama wengine #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »SEKONDARI YA WASICHANA SIMIYU – BARIADI YAZINDULIWA
Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akifungua shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu iliyopo Bariadi mkoani humo tarehe 16 Juni, 2025. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »Wakili Mwabukusi, amepongeza kampeni ya kisheria ya Mama Samia Legal Aid katika viwanja vya Zakiem, akisema imemsaidia kuelewa haki zake kuhusu ardhi na ndoa
Amesema sasa jamii ina uelewa zaidi na imejengeka imani kwa msaada wa sheria bila malipo.
Soma zaidi »KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA RASMI DAR ES SALAAM
Kampeni hii inalenga kutoa elimu na huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi wote, makundi yenye uhitaji kama wanawake, vijana, wazee, na watu wenye ulemavu. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #MSLAC
Soma zaidi »KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA RASMI DAR ES SALAAM
Kampeni hii inalenga kutoa elimu na huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi wote, hususan makundi yenye uhitaji kama wanawake, vijana, wazee, na watu wenye ulemavu. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #MSLAC
Soma zaidi »DKT. AKINWUMI ADESINA ASAFIRI
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya chini Tanzania kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025, kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Soma zaidi »