Tanzania MpyA+

Uzinduzi wa Kiwanda cha kuchakata pamba cha Meatu

Uzinduzi wa Kiwanda cha kuchakata pamba cha Biosustain Meatu kinaongeza thamani ya pamba, Kuongeza kipato cha wakulima, Kutengeneza ajira, Kuimarisha kilimo endelevu, Kupunguza umasikini na kulinda mazingira. Pia Kinaendeleza sekta ya pamba kwa kutoa mafunzo na mbegu bora.

Soma zaidi »