Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma, tarehe 03 Februali, 2025
#MSLAC#Katibanasheria#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya @SSuluhuHassan
Soma zaidi »MANDHARI YA TANZANIA INANG’AA KATIKA “MUFASA: THE LION KING” – UBUNIFU WA DRONE ULIPIGWA NA MTANZANIA KAKA MUSSA UNALETA HADITHI TAMU YA AFRIKA:
Katika hatua ya kipekee ya kuonyesha uzuri wa mazingira ya Afrika, filamu ya kimataifa Mufasa: The Lion King imeleta mabadiliko makubwa katika jinsi hadithi ya kifalme ya simba inavyoonyeshwa. Mchanganyiko huu wa mandhari halisi na hadithi ya kusisimua unaleta uzuri wa Afrika, ukionyesha maeneo ya kipekee kutoka kwenye majangwa ya Namibia hadi …
Soma zaidi »Ushiriki wa Tanzania katika Utayarishaji wa Filamu ya Kimataifa
Mafanikio ya Mufasa: The Lion King yamepata uzito mkubwa kutokana na mchango wa wataalamu wa Tanzania. Mtayarishaji maarufu Mussa Ally Mbwego (Mussa Kaka) ameongeza umaarufu wa nchi yetu kupitia utumiaji wa teknolojia ya kisasa katika utayarishaji wa filamu. “Ni heshima kubwa kwangu kuwakilisha Tanzania katika mradi huu wa kimataifa, ambapo tunahakikisha kuwa …
Soma zaidi »Tanzania: Kituo cha Mazingira Bora na Utamaduni wa Filamu
Wakurugenzi na wasanii wa filamu wamepewa wito wa kuwa walinzi wa picha njema za Tanzania. Wamehimiza watayarishaji wa ndani kuendelea kushirikiana katika utayarishaji wa filamu za kigeni, hasa pale ambapo nchi yetu inapowakilishwa vibaya. “Tunapaswa kuwa waangalifu na kuhakikisha kwamba hadithi za Tanzania zinawakilishwa kwa uhalisia na uzuri wake wa …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji na Mwenyekiti wa kampuni ya SC Johnson Family Dkt. Fisk Johnson kutoka Marekani pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Matiku Chacha mfano wa ufunguo wa magari kwa ajili ya huduma ya afya inayotembea (Mobile Clinic) kwa Wilaya ya Sikonge na Uyui yaliyotolewa na Jakaya Kikwete Foundation chini ya ufadhili wa Kampuni ya SC Johnson Family ya Marekani
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe,Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 31 Januari, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC katika ukumbi wa New Parliament Building, Harare nchini Zimbabwe tarehe 31 Januari, 2025
Mkutano huo pamoja na mambo mengine unajadili hali ya ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi hiyo uliofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Januari, 2025
Katika Mkutano huo, Mhe. Rais Dkt. Samia alishiriki pamoja na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema sambamba na Rais wa Jamhuri ya Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera. Aidha, Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. …
Soma zaidi »