JIJI LA DODOMA

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BI JAMIE COOPER

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Bi. Jamie Cooper ambaye ni Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Big Win Philanthropy, Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 2 Februari, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Bi. Jamie Cooper …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AZUNGUMZA KWA NJIA YA MTANDAO NA BW. BEN VAN BEURDEN AFISA MTENDAJI MKUU WA KAMPUNI YA ROYAL DUTCH SHELL

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 04 Oktoba, 2021 amezungumza kwa njia ya mtandao na Bw. Ben Van Beurden Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Royal Dutch Shell yenye makao yake makuu  nchini Uholanzi. Bw. Van Beurden amemshukuru Mhe. Rais Samia na kueleza …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AWATAKA WAKUU WA MIKOA KUWAPANGA WAMACHINGA

Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kuwapanga upya Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Wamachinga, bila kutumia nguvu ili wafanye biashara zao kwa kufuata taratibu zilizowekwa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Profesa Makame Mbarawa (Mb) kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi katika …

Soma zaidi »