UWEKEZAJI

WAZIRI MKUU AZINDUA MITAMBO YA KISASA YA KURUSHIA MATANGAZO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 15, 2024 amekagua na kuzindua mitambo na vifaa vipya vya kurushia matangazo vya kampuni ya Azam Media Limited. Vifaa hivyo ni pamoja na Magari ya kisasa ya kurushia matangazo (OB Van), kamera za kisasa pamoja na mfumo wa kusaidia maamuzi viwanjani (VAR). Vifaa hivyo …

Soma zaidi »

DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO – BUSISI) KUTUMIKA IFIKAPO 30 DISEMBA 2024

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi), lenye urefu wa kilomita 3.0 na barabara unganishi ya kilomita 1.66, linatarajiwa kuanza kutumika tarehe 30 Disemba 2024. Daraja hili linalojengwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation na China Railway 15 Bureau Group Corporation (CCECC – CR15G JV) kwa gharama ya …

Soma zaidi »

SERIKALI YA TANZANIA YAENDELEA KULETA MAENDELEO KWA UWAZI NA UWAJIBIKAJI

Serikali ya Tanzania imechukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha uwajibikaji kwa mujibu wa Katiba ya nchi. 1. Utekelezaji wa Miradi ya Miundombinu Serikali imewekeza katika miradi mikubwa ya miundombinu kama vile barabara, reli, na viwanja vya ndege ili kuboresha usafiri na usafirishaji ndani ya nchi. Mradi wa reli ya kisasa (Standard …

Soma zaidi »

TPA NA EACOP WAFIKIA MAKUBALIANO KUIMARISHA BANDARI YA TANGA KWA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA AFRIKA MASHARIKI

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeingia mikataba mitatu na East African Crude Oil Pipeline ( EACOP) Limited kwa ajili ya kuridhia kutumika kwa Bandari ya Tanga katika kutekeleza mradi wa kimkakati wa ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani, Tanga Tanzania. …

Soma zaidi »

SERIKALI YA TANZANIA NA SEKTA BINAFSI YAFANYA MKUTANO WA KIHISTORIA KATIKA MINING INDABA: KUBORESHA UWEKEZAJI NA KUKUZA SEKTA YA MADINI NCHINI TANZANIA.

Wakati Serikali ya Tanzania na Sekta Binafsi kupitia Chemba ya Migodi Tanzania wakishiriki kwa mara ya kwanza kwa pamoja katika Mkutano wa Mining Indaba nchini Afrika Kusini, wametumia nafasi hiyo kukaa kikao na kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuboresha mazingira ya uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania. Kikao hicho …

Soma zaidi »

TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA MAENDELEO; KUONGEZA UWEKEZAJI WA GESI, KUVUTIA BILIONI 1 ZA UWEKEZAJI, NA USHIRIKIANO NA INDONESIA.

Kuongeza Uwekezaji wa TPDC kwenye Kitalu cha Gesi Mnazi Bay Hatua ya kuongeza hisa za TPDC kwenye kitalu cha gesi Mnazi Bay ina lengo la kuimarisha udhibiti wa nchi katika rasilimali za gesi. Kuwa na umiliki mkubwa zaidi kunaweza kuongeza faida kwa Tanzania na kuhakikisha uwiano mzuri wa manufaa kati …

Soma zaidi »

WAZIRI WA VIWANDA NA WAZIRI WA UWEKEZAJI WAKUTANA NA WAZIRI WA UINGEREZA ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFRIKA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo na Waziri wa Uwekezaji, Geofrrey Mwambe kwa pamoja wamekutana leo Mei 11, 2021 na kufanya mazungumzo na Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje, Jumuiya ya Madola na Maendeleo ya Uingereza, Bw. James Duddridge. Katika kikao …

Soma zaidi »