MAZINGIRA

ZIARA YA RAIS DKT. SAMIA , YALETA TABASAMU JIPYA MLELE MKOANI KATAVI…

Ziara ya Mhe Rais , Imekuwa ziara ya Mafanikio Makubwa kwa Mkoa wa Katavi, Hasa kwenye Maswala ya Utekelezaji na usambazi wa umeme kutoka gridi ya Taifa, Maswala ya Ardhi na Juhudi Kubwa ya Serikali Katika Sekta ya Ujenzi hasa Ujenzi wa Barabara.

Soma zaidi »

Ahadi zote Tunaona Utekelezwaji Wake, Hasa Miradi Muhimu ya Kujenga Na Kuimarisha Uchumi wa Tanzania

Rais Wa Wa Jamhuri Ya Muungno Wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Amezungumza Na Wananchi Wa Kijiji Cha Inyonga Kilichopo Wilayani Mlele Mkoani Katavi Baada Ya Kuzindua Kitua Cha Kupooza Umeeme Cha Gridi Ya Taifa Cha Mlele , Ambapo Ameewataka Wananchi Kutunza Mazingira Na Kuacha Kuchoma Misitu Hovyo. Aidha …

Soma zaidi »

Kongamano La Wadau Wa Mazingira: Njia Za Kusimamia Na Kuhifadhi Mazingira Kwa Ustawi Na Uendelevu Tanzania

Kongamano la wadau wa mazingira lililoandaliwa na NEMC linatoa fursa muhimu ya kujadili njia bora za kusimamia na kuhifadhi mazingira nchini Tanzania. Mada hii ni ya umuhimu mkubwa sana kutokana na changamoto za mazingira zinazokabili dunia kwa ujumla, na hasa katika nchi zinazoendelea kama Tanzania. Kwa hiyo, kujadili njia za …

Soma zaidi »

Jukumu la Baraza la Taifa la Usimamizi na Udhibiti wa Mazingira Tanzania (NEMC) katika Kuboresha Utunzaji wa Mazingira katika Sekta Mbalimbali

Baraza la Taifa la Usimamizi na Udhibiti wa Mazingira Tanzania (NEMC) lina jukumu muhimu katika kusimamia na kuboresha utunzaji wa mazingira katika sekta mbalimbali nchini. Hapa kuna jinsi NEMC inavyotekeleza majukumu yake katika ardhi, ikolojia, uchumi, madini, na viwanda:  Tathmini za Athari za Mazingira (EIA) NEMC inaratibu na kufanya tathmini …

Soma zaidi »

Umuhimu wa Uhifadhi wa Mazingira Bora na Safi kwa Maendeleo ya Tanzania na Afya ya Jamii

Mazingira asili ni mazingira ambayo hayajabadilishwa au kuharibiwa sana na shughuli za kibinadamu. Yanajumuisha misitu, maziwa, mito, milima, mabonde, na viumbehai wote wanaoishi katika mazingira hayo bila kuingiliwa sana na shughuli za kibinadamu. Umuhimu wa mazingira bora na safi kwa Tanzania na watu wake ni mkubwa sana kwa sababu ya …

Soma zaidi »

WIZARA, TAASISI ZAAGIZWA KUZINGATIA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Wizara, Taasisi, Mamlaka, wadau na sekta binafsi zimeagizwa kuzingatia matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ili kulinda mazingira na athari nyingine zinazotokana na nishati isiyo safi. Agizo hilo limetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo (Mei 8, 2024) Jijini Dar es salaam …

Soma zaidi »

“Uchafuzi wa mazingira katika Majiji, Miji na Halmashauri bado ni tatizo”

Makamu wa Rais ametoa maagizo wakati akifungua Kongamano la Wadau wa Mazingira lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es Salaam. Amesema uchafuzi wa mazingira katika Majiji, Miji na Halmashauri bado ni tatizo huku uharibifu wa misitu ukiendelea kuwa changamoto licha ya kuwepo kwa vyombo vya …

Soma zaidi »