Nchi inaposhindwa kulinda Neema ya mazingira kwa ajili yetu na kizaji kijacho Mungu anaweza kuondosha Neema nyingine nyingi kwenye nchi. Ameahidi kumuunga mkono na yupo tayari kupokea maagizo yoyoyte ya Rais Mhe Samia Suluhu Hassan ya kulinda Mazingira.
Soma zaidi »WIZARA YA FEDHA ITAWEKA AJENDA YA RAIS DKT SAMIA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA KUWA KIPAUMBELE
Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ameeleza kuwa ni gharama kubwa sana kukabiliana na uharibifu wa Mazingira, lakini Mataifa ya Afrika Mashariki Yanapochukua hatua za Mapema itaepusha gharama za baadae za kurejesha Mazingira. Ni lazima Nchi zote za Afrika Mashariki zikaiga kwa Tanzania sasa zikahamasisha matumizi ya nishati safi ya …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Sierra Leone Mhe. Julius Maada Bio kushoto pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina
Hii ni mara baada ya kushiriki Mjadala wa Kimataifa wa Norman E. Borlaung wenye lengo la kutafuta suluhu ya changamoto ya upatikanaji wa chakula Duniani inayochochewa na mabadiliko ya tabianchi. Mjadala huo umefanyika katika Mji wa Des Moines, Iowa nchini Marekani tarehe 31 Oktoba, 2024. #NaHayaNdiyoMatokeoChanyA+ #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM …
Soma zaidi »Mazingira bora ni urithi wa thamani ambao tunao jukumu la kuutunza na kuuhifadhi kwa ajili ya vizazi vya sasa na vijavyo. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 27, inatambua na kusisitiza wajibu wa kila raia kulinda na kutunza mazingira.
Katiba ya Tanzania na Wajibu wa Kulinda Mazingira, Ibara ya 27 ya Katiba inasema wazi kuwa kila mtu ana wajibu wa kulinda mali ya umma na mali ya pamoja ambayo ni pamoja na maliasili na mazingira. Hii ina maana kuwa, ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha kwamba ardhi, misitu, maji, …
Soma zaidi »ZIARA YA RAIS DKT. SAMIA , YALETA TABASAMU JIPYA MLELE MKOANI KATAVI…
Ziara ya Mhe Rais , Imekuwa ziara ya Mafanikio Makubwa kwa Mkoa wa Katavi, Hasa kwenye Maswala ya Utekelezaji na usambazi wa umeme kutoka gridi ya Taifa, Maswala ya Ardhi na Juhudi Kubwa ya Serikali Katika Sekta ya Ujenzi hasa Ujenzi wa Barabara.
Soma zaidi »Ahadi zote Tunaona Utekelezwaji Wake, Hasa Miradi Muhimu ya Kujenga Na Kuimarisha Uchumi wa Tanzania
Rais Wa Wa Jamhuri Ya Muungno Wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Amezungumza Na Wananchi Wa Kijiji Cha Inyonga Kilichopo Wilayani Mlele Mkoani Katavi Baada Ya Kuzindua Kitua Cha Kupooza Umeeme Cha Gridi Ya Taifa Cha Mlele , Ambapo Ameewataka Wananchi Kutunza Mazingira Na Kuacha Kuchoma Misitu Hovyo. Aidha …
Soma zaidi »Serikali Inachochea Matumizi Mbadala Ya Nishati Kwa Faida Ya Mazingira Na Afya Za Watanzania.
Katiba inaweka wajibu kwa serikali kuhakikisha matumizi endelevu ya rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi wote. Hivyo, serikali inachochea matumizi mbadala ya nishati kwa faida ya mazingira na afya za Watanzania.
Soma zaidi »Kongamano La Wadau Wa Mazingira: Njia Za Kusimamia Na Kuhifadhi Mazingira Kwa Ustawi Na Uendelevu Tanzania
Kongamano la wadau wa mazingira lililoandaliwa na NEMC linatoa fursa muhimu ya kujadili njia bora za kusimamia na kuhifadhi mazingira nchini Tanzania. Mada hii ni ya umuhimu mkubwa sana kutokana na changamoto za mazingira zinazokabili dunia kwa ujumla, na hasa katika nchi zinazoendelea kama Tanzania. Kwa hiyo, kujadili njia za …
Soma zaidi »Jukumu la Baraza la Taifa la Usimamizi na Udhibiti wa Mazingira Tanzania (NEMC) katika Kuboresha Utunzaji wa Mazingira katika Sekta Mbalimbali
Baraza la Taifa la Usimamizi na Udhibiti wa Mazingira Tanzania (NEMC) lina jukumu muhimu katika kusimamia na kuboresha utunzaji wa mazingira katika sekta mbalimbali nchini. Hapa kuna jinsi NEMC inavyotekeleza majukumu yake katika ardhi, ikolojia, uchumi, madini, na viwanda: Tathmini za Athari za Mazingira (EIA) NEMC inaratibu na kufanya tathmini …
Soma zaidi »Umuhimu wa Uhifadhi wa Mazingira Bora na Safi kwa Maendeleo ya Tanzania na Afya ya Jamii
Mazingira asili ni mazingira ambayo hayajabadilishwa au kuharibiwa sana na shughuli za kibinadamu. Yanajumuisha misitu, maziwa, mito, milima, mabonde, na viumbehai wote wanaoishi katika mazingira hayo bila kuingiliwa sana na shughuli za kibinadamu. Umuhimu wa mazingira bora na safi kwa Tanzania na watu wake ni mkubwa sana kwa sababu ya …
Soma zaidi »