December 31, 2023
JIJI LA DODOMA, Matokeo ChanyA+, MKOA WA ARUSHA, MKOA WA IRINGA, MKOA WA KIGOMA, MKOA WA MANYARA, MKOA WA MARA, MKOA WA MBEYA, MKOA WA MOROGORO, MKOA WA MTWARA, MKOA WA RUKWA, MKOA WA SIMIYU, MKOA WA TANGA, Tanzania, Tanzania MpyA+, WIZARA YA ELIMU
January 15, 2021
MKOA WA ARUSHA
Naibu waziri ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe David Silinde (Mb) ameipongeza wilaya ya Arumeru pamoja na Halmashauri zake mbili za Meru Dc na Arusha Dc kwa kazi ya ujenzi wa madarasa pamoja na usimamizi madhubuti wa fedha za Umma za miradi ya EP4R Mhe Silinde ambae amefanya ziara leo Tarehe …
Soma zaidi »
January 10, 2021
MKOA WA ARUSHA
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta amempongeza mkuu wa wilaya ya Arumeru na uongozi mzima wa halmashauri ya Meru, na Halmashauri ya Arusha Dc kwa hatua nzuri waliyofikia katika ujenzi wa madarasa. Kimanta ambae amefanya ziara ya siku mbili ya ukaguzi wa ujenzi wa madarasa katika halmashauri …
Soma zaidi »
December 3, 2020
MKOA WA ARUSHA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa onyo kali kwa wataalamu wa ununuzi na ugavi ambao bado wanaendekeza vitendo viovu kama rushwa, upendeleo, kuingilia michakato ya ununuzi kwamba waache mara moja kwani Serikali haitomhurumia yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo hivyo. Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumatano, Desemba 2, 2020) alipofungua Kongamano …
Soma zaidi »
November 24, 2020
MKOA WA ARUSHA
Rais Mstaafu ,Dkt Jakaya Kikwete amewataka vijana wa jumuiya ya Afrika Mashariki kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika jumuiya ya Afrika mashariki na kuweza kuzichangamkia fursa zilizopo.Aliyasema hayo jana wakati akifungua mkutano wa vijana wa jumuiya ya Afrika mashariki (YouLead)uliofanyika mkoani Arusha. Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akipiga selfie na Vijana na …
Soma zaidi »
October 27, 2020
MJI WA SERIKALI, MKOA WA ARUSHA
Na.Vero Ignatus Arusha. Majadiliano ya kutia saini mkataba wa nchi hodhi baina ya Total na Serikali ya Tanzania juu ya utekelezaji wa mradi wa EACOP umefanyika leo Jijini Arusha katika hotel ya Grad melia. Utiaji wa saini wa makubaliano ya awali ya Afrrika ya mashariki (EACOP )kati ya serikali ya …
Soma zaidi »
October 24, 2020
IKULU, MAWASILIANO IKULU, MKOA WA ARUSHA, WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa Arusha na Kilimanjaro akikata utepe kuashiria uzinduzi wa huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni …
Soma zaidi »
August 10, 2020
MKOA WA ARUSHA, WIZARA YA AFYA
Na WAMJW- ARUSHA Mkurugenzi wa tiba Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Grace Magembe ametoa wito kwa Watoa huduma za Afya wote nchini kufanya kazi kwa kushirikiana baina yao na viongozi wao ili kuboresha huduma za afya nchini. Dkt. Grace, ametoa wito huo wakati alipofanya …
Soma zaidi »
June 26, 2020
MKOA WA ARUSHA, WIZARA MALIASILI, WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza wakati wa kikao cha kujadili uanzishwaji wa Pori la Akiba na WMA ya Ziwa Natron kikao kilichowahusisha wawakilishi wa wananchi, viongozi wa mila wa kabila la Masai na viongozi wa serikali wa wilaya ya Longido. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Idd …
Soma zaidi »
June 22, 2020
IKULU, MKOA WA ARUSHA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kumuapisha Idd Hassan Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Juni 2020. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe …
Soma zaidi »