MKOA WA DAR ES SALAAM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Taasisi ya Sayansi za Bahari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ina Mchango Mkubwa katika Mipango na Sera za kuendeleza Uchumi wa Buluu unaozingatia matumizi endelevu ya rasilimali za Bahari

Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo alipoweka jiwe la Msingi Jengo la Taaluma na Utawala la taasisi hiyo Buyu ,Wilaya ya Magharibi B ,Mkoa wa Mjini Magahribi. Aidha Rais Mwinyi ameahidi Serikali kuendelea Kushirikiana na Taasisi hiyo wakati wote kwa lengo la kuhakikisha Rasilimali za Bahari ziliyopo zinatumika ipasavyo ili kutoa Mchango …

Soma zaidi »

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni awasili katika Ofisi ndogo ya Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam leo Desemba 16,2024, baada ya kuteuliwa hivi karibuni

Waziri Masauni amepokelewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja na Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi.

Soma zaidi »

CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI KIGAMBONI: NGUVU MPYA KATIKA KUINUA MAISHA NA UJUZI WA JAMII

Chuo Cha Maendeleo ya Wananchi Kigamboni (FDC-KIGAMBONI), kilichozinduliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023, ni mradi muhimu wa maendeleo ya kijamii unaolenga kuinua maisha ya wananchi kwa kuwapatia elimu ya vitendo na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira na shughuli za kiuchumi. Chuo hiki ni …

Soma zaidi »

DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO – BUSISI) KUTUMIKA IFIKAPO 30 DISEMBA 2024

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi), lenye urefu wa kilomita 3.0 na barabara unganishi ya kilomita 1.66, linatarajiwa kuanza kutumika tarehe 30 Disemba 2024. Daraja hili linalojengwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation na China Railway 15 Bureau Group Corporation (CCECC – CR15G JV) kwa gharama ya …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi zawadi ya mlango wa Zanzibar (Zanzibar Door) kabla ya ufunguzi Rasmi wa  Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam  (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024.

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #NEMC #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Soma zaidi »

BANDARI YA DAR ES SALAAM INAPANUKA NA KUIMARIKA: HATUA MUHIMU KWA UCHUMI WA TANZANIA

Bandari ya Dar es Salaam ni kitovu muhimu cha biashara na uchumi wa Tanzania, na inaendelea kuimarika kupitia uwekezaji mpya na miradi mingine inayotegemea bandari hiyo. Hivi karibuni, kumekuwa na maendeleo makubwa yanayolenga kuboresha miundombinu na huduma zinazotolewa katika Bandari ya Dar es Salaam. Moja ya miradi muhimu ni upanuzi …

Soma zaidi »

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa,Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali na wageni waalikwa katika hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa kwaajili ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba wakati wa ziara yake nchini Tanzania. Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 24 Januari 2024.Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa,Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali na wageni waalikwa katika hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa kwaajili ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba

Soma zaidi »