Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo alipoweka jiwe la Msingi Jengo la Taaluma na Utawala la taasisi hiyo Buyu ,Wilaya ya Magharibi B ,Mkoa wa Mjini Magahribi. Aidha Rais Mwinyi ameahidi Serikali kuendelea Kushirikiana na Taasisi hiyo wakati wote kwa lengo la kuhakikisha Rasilimali za Bahari ziliyopo zinatumika ipasavyo ili kutoa Mchango …
Soma zaidi »Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni awasili katika Ofisi ndogo ya Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam leo Desemba 16,2024, baada ya kuteuliwa hivi karibuni
Waziri Masauni amepokelewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja na Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi.
Soma zaidi »CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI KIGAMBONI: NGUVU MPYA KATIKA KUINUA MAISHA NA UJUZI WA JAMII
Chuo Cha Maendeleo ya Wananchi Kigamboni (FDC-KIGAMBONI), kilichozinduliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023, ni mradi muhimu wa maendeleo ya kijamii unaolenga kuinua maisha ya wananchi kwa kuwapatia elimu ya vitendo na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira na shughuli za kiuchumi. Chuo hiki ni …
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 23, 2024 ni mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Wiki Maadhimisho ya Wiki ya Sekta Binafsi inayofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam.
DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO – BUSISI) KUTUMIKA IFIKAPO 30 DISEMBA 2024
Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi), lenye urefu wa kilomita 3.0 na barabara unganishi ya kilomita 1.66, linatarajiwa kuanza kutumika tarehe 30 Disemba 2024. Daraja hili linalojengwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation na China Railway 15 Bureau Group Corporation (CCECC – CR15G JV) kwa gharama ya …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi zawadi ya mlango wa Zanzibar (Zanzibar Door) kabla ya ufunguzi Rasmi wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024.
#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #NEMC #wizarayaafya #wizarayaujenzi
Soma zaidi »BANDARI YA DAR ES SALAAM INAPANUKA NA KUIMARIKA: HATUA MUHIMU KWA UCHUMI WA TANZANIA
Bandari ya Dar es Salaam ni kitovu muhimu cha biashara na uchumi wa Tanzania, na inaendelea kuimarika kupitia uwekezaji mpya na miradi mingine inayotegemea bandari hiyo. Hivi karibuni, kumekuwa na maendeleo makubwa yanayolenga kuboresha miundombinu na huduma zinazotolewa katika Bandari ya Dar es Salaam. Moja ya miradi muhimu ni upanuzi …
Soma zaidi »