Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo na Miundombinu kwa kufanya upanuzi wa Hospital za wilaya za Sumbawanga Bilioni 13.7, Ujenzi wa vituo vya Afya 21 na zahanati 30 kwa gharama ya bilioni 9.4, Elimu ya ngazi chini shule mpya za msingi …
Soma zaidi »Maendeleo Ya Huduma Za Kijamii Zafufua Tumaini Jipya Mkoani Katavi..
Maendeleo ya huduma za kijamii yameleta matumaini mapya kwa wakazi wa mkoa wa Katavi. Huduma hizi zimeboreshwa kwa kiwango kikubwa, na kufanikisha uimarishaji wa miundombinu ya afya, elimu, na maji safi, ambayo imekuwa ni changamoto kwa muda mrefu katika mkoa huu. 1.Sekta ya Afya Hospitali ya mkoa wa Katavi imeboreshwa …
Soma zaidi »MAPINDUZI YA ELIMU KATAVI, SERIKALI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YAONGOZA UJENZI WA MADARASA MAPYA.
Mkoa wa Katavi umeendelea kupiga hatua kubwa katika sekta ya elimu kupitia juhudi za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kupitia mpango maalum wa kuboresha miundombinu ya shule, serikali imeweza kujenga madarasa mapya ambayo yameleta mabadiliko makubwa katika mazingira ya kujifunza na kufundishia. Ujenzi wa Madarasa Mapya Katika miaka ya …
Soma zaidi »“WAPENI NAFASI WATOTO WAKUE VIZURI KUZAA WATOTO WENZAO” RAIS DKT. SAMIA
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alipotoa wito huu, alikuwa akisisitiza umuhimu wa kuwapa watoto nafasi ya kukua vizuri kabla ya kuwa na watoto wao wenyewe. Kauli hii inaangazia masuala kadhaa muhimu: 1.Elimu na Maendeleo ya Watoto. Rais anahimiza kwamba watoto wanapaswa kupata elimu bora na kupewa nafasi ya kukua kiakili, …
Soma zaidi »TAARIFA UFAULU DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI
NUKUU ZA MH RAIS DK SAMIA SULUHU HASANI, KUHUSU SEKTA YA ELIMU KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO WA MWAKA 2023 KUKARIBISHA MWAKA 2024 KWA WATANZANIA.
NA HAYA NDIYO MATOKEO CHANYA+
Soma zaidi »Tumepiga hatua kubwa katika sekta za afya, maji, nishati, elimu, kilimo, uwekezaji, miundombinu, michezo, diplomasia yenye tija kwa taifa letu, uchumi kwa ujumla na maeneo mengine mengi. Katika yote tumebaki kuwa wamoja na wenye amani na utulivu.
MAENDELEO UJENZI WA SHULE ZA WASICHANA
HESLB NA TASAF KUWEZESHA WANAFUNZI WA KAYA MASKINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo ameitaka Bodi ya Mikopo ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii kuendeleza mashirikiano yaliyopo ili kuhakikisha watanzania wahitaji wenye sifa za kujiunga na elimu ya juu wanawezeshwa. Akizungumza katika Hotuba …
Soma zaidi »SERIKALI KUJENGA CHUO KIPYA CHA UFUNDI KITAKACHOCHUKUA WANAFUNZI 5,000
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt Leonard Akwilapo na Maneja wa Kampuni ya CRJE East Afrika Ltd tawi la Tanzania Xu Cheng wakitia saini mkataba wa ujenzi wa Chuo cha Ufundi Dodoma katika hafla ya utiaji iliyofanyika Jijini Dodoma. Wanaoshuhudia katika picha ni watumishi wa wizara …
Soma zaidi »