WIZARA YA ELIMU

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Taasisi ya Sayansi za Bahari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ina Mchango Mkubwa katika Mipango na Sera za kuendeleza Uchumi wa Buluu unaozingatia matumizi endelevu ya rasilimali za Bahari

Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo alipoweka jiwe la Msingi Jengo la Taaluma na Utawala la taasisi hiyo Buyu ,Wilaya ya Magharibi B ,Mkoa wa Mjini Magahribi. Aidha Rais Mwinyi ameahidi Serikali kuendelea Kushirikiana na Taasisi hiyo wakati wote kwa lengo la kuhakikisha Rasilimali za Bahari ziliyopo zinatumika ipasavyo ili kutoa Mchango …

Soma zaidi »

Tunawatakia Watanzania Wote Heri ya Mwaka Mpya 2025 Salamu za heri na mafanikio kwa Watanzania wote. Katika mwaka huu mpya, tunataka kila Mtanzania aendelee kufurahia maendeleo, amani, na mshikamano. Tukiwa na umoja, nguvu na nia ya kujenga taifa letu, tunaamini tutapata mafanikio makubwa zaidi katika sekta zote, ikiwa ni pamoja na elimu, afya, uchumi, na miundombinu

Mwaka 2025 ni fursa nyingine ya kuendelea kujenga taifa lenye neema, lenye kujivunia na lililo na ustawi kwa kila mmoja wetu. Heri ya mwaka mpya kwa Watanzania wote, kwa familia zenu na kwa jamii nzima ya Tanzania. #HeriYaMwakaMpya #MatokeoChanya+ #TanzaniaKwanza

Soma zaidi »

MATOKEO DARASA LA SABA 2024

Jumla ya watahiniwa 974,229 Sawa na 80.87%, watahiniwa wenye matokeo wamefaulu na kumaliza Elimu ya Msingi 2024. Hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa 0.29%,. Kati ya watahiniwa hao wavulana ni 449,057 Sawa na 46% na wasichana ni 525,172 Sawa na 54% Hivyo ufaulu wa wasichana umeshuka kwa 0.53% na ufaulu …

Soma zaidi »

Tanzania yaongeza idadi ya madarasa ya sayansi kufikia zaidi ya 5,000 katika shule za sekondari.

Hii ni sehemu ya juhudi za kuimarisha elimu ya sayansi na kuwahamasisha wanafunzi kujiunga na masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi, na hisabati (STEM). Mpango huu unalenga kuboresha miundombinu ya elimu, hususan kwenye masomo ya sayansi ili kuandaa wataalamu wengi zaidi katika nyanja hizo. Serikali inaendelea na juhudi za kuongeza idadi …

Soma zaidi »

Shule za Sekondari

Serikali imeendelea kuongeza idadi ya shule za sekondari za kutwa na bweni. Jumla ya vyumba vya madarasa 8,000 vimejengwa tangu mwaka 2022 ili kupunguza msongamano wa wanafunzi. #NahayaNdiyoMatokeoChanyA+ #KaziIemdelee #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »

Uwekezaji mkubwa katika sekta ya elimu ni muhimu kwa maendeleo ya taifa

Kwa kuwekeza katika elimu, tunahakikisha kuwa watoto wetu wanapata maarifa na ujuzi unaohitajika kwa maisha yao ya baadaye. Pia, kufundisha utamaduni wetu kwa watoto ni njia bora ya kuimarisha utambulisho wa kitaifa na kuwaunganisha Watanzania kwa msingi wa maadili na desturi za kitamaduni. Hii inasaidia kuwajenga watoto kuwa raia wema, …

Soma zaidi »

Dhamira ya Serikali ni kuboresha Sekta ya elimu na kutoa wito kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha mafanikio ya elimu nchini Tanzania…..

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Soma zaidi »