WIZARA YA ELIMU

TUNAHITAJI SANA ELIMU KWA JAMII ZETU KATIKA SWALA LA MAZINGIRA🌿

Mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa vyanzo vya maji, ukataji wa miti, na ongezeko la uchafuzi wa mazingira ni changamoto zinazotishia ustawi wa kizazi cha sasa na kijacho. Umuhimu wa kutunza mazingira katika maisha ya kila siku Namna elimu ya mazingira inaweza kusaidia kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi Jinsi jamii …

Soma zaidi »

SHUJAA ANAYEWASHA MWANGA KWA WATOTO WASIOONA – MWALIMU WAKATI

Katika kijiji kidogo kilichojaa matumaini, Mwalimu Bahati anabadilisha maisha ya watoto wenye ulemavu wa uoni kwa bidii na mapenzi ya dhati. Licha ya changamoto nyingi, anawafundisha kwa mbinu maalum kama nukta nundu (Braille), vifaa vya sauti, na mafunzo ya kugusa mazingira. Kwa msaada wake, wanafunzi wake wamefanikiwa—wengine hata kuwa waandishi …

Soma zaidi »