Miradi ya kimkakati nchini Tanzania, chini ya Serikali ya Awamu ya Sita, inaleta mabadiliko makubwa na matokeo chanya katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Hapa ni tathmini fupi ya maendeleo ya miradi hiyo: Daraja la Kigongo – Busisi Mafanikio, Mradi umefikia asilimia 75 ya utekelezaji, ukionyesha maendeleo makubwa. Ujenzi wa …
Soma zaidi »Teuzi Mpya Za Mhe Rais Samia Suluhu
Shabaha Kubwa Ya Royal Tour Ni Kuitangaza Nchi Kwa Dunia Na Kuujulisha Ulimwengu Vivutio Vilivyopo Tanzania #NaHayaNdiyoMatokeoChanya+ #nchiyangukwanza
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BI JAMIE COOPER
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Bi. Jamie Cooper ambaye ni Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Big Win Philanthropy, Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 2 Februari, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Bi. Jamie Cooper …
Soma zaidi »