#Maendeleo #Uzalendo #Tanzania #HamisAbdala #TuongeeUkweli #VijanaNaMaendeleo
Soma zaidi »WATU MKO KIMYA HAMSEMI …! , – HAMIS ABDALA
“Mnasemaje nchi haina maendeleo, mmekaa kimya, hamsemi kwanini!” ni ujumbe mzito kutoka kwa Hamis Abdala, Mtanzania anayetoa changamoto kwa jamii na kuibua mjadala kuhusu uzalendo, uwajibikaji wa raia, na kutambua jitihada za maendeleo nchini. Katika video hii, tunatafakari kwa kina: Ni maendeleo gani yamefanyika nchini Tanzania? Kwa nini baadhi ya …
Soma zaidi »Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura, Chamwin
Tarehe 17 Mei, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino, iliyopo Kata na Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma. Afisa Mwandikishaji wa majimbo ya Chamwino na …
Soma zaidi »USIPOTEZE HAKI YAKO, WAHI KAHAKIKI TAARIFA ZAKO – RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
“Ndugu zangu nami nimeona nijiunge nanyi hapa kituoni kwetu. Kama mnavyojua mimi ni mkazi wa Chamwino na nimepiga kura nyingi huko nyuma. Lakini kwa mwaka huu ni lazima nipige hapa Chamwino. Kwa hiyo ndiyo maana nimekuja kurekebisha taarifa zangu. Si mpiga kura mpya lakini nimekuja kurekebisha taarifa zangu. Huko nyuma …
Soma zaidi »“KILA MTANZANIA AJITOKEZE ATUMIE FURSA YA KUJIANDIKISHA” – MHE. DKT. SAMIA
“Kama nilivyosema, la kwanza kutokujitokeza kuandikisha ni kukataa mwenyewe haki yako ya kikatiba. Na unapokataa haki ya kikatiba suala unajiuiza je, wewe ni mzalendo?, ni mzalendo wa aina gani ambae katiba imekupa fursa hii, nenda kaandikishe, piga kura, weka kiongozi anayehisi atakuja kukuhudumia wewe unaikataa. Ukiikataa wenzio watakwenda kuweka wanayemtaka …
Soma zaidi »WALIMSEMA HATAWEZA, SASA MIRADI INAZUNGUMZA! – Hamisi Abdala
Songea, Ruvuma – Katika mwendelezo wa kampeni ya uhamasishaji wa elimu ya kisheria na uwajibikaji kwa viongozi wa serikali za mitaa, mwanaharakati na mkazi mashuhuri wa Songea, Hamisi Abdala, ametoa kauli yenye uzito kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, …
Soma zaidi »LIVE: SEMINA KUBWA SONGEA, WAJUMBE 800+ WA KAMATI ZA SIASA
Zaidi ya wajumbe 800 wa kamati za siasa, viongozi wa serikali za mitaa, wilaya na mashirika mbalimbali wameungana kwenye semina maalum iliyoandaliwa na MSLAC kwa ajili ya kutoa elimu juu ya maendeleo ya jamii, usalama wa jamii, uongozi bora na ushirikishwaji wa wananchi. Semina hii inalenga kuhamasisha mabadiliko chanya kwenye …
Soma zaidi »RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI MAZISHI YA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS NA WAZIRI MKUU MSTAAFU HAYATI MSUYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na viongozi mbalimbali wa serikali, wananchi na familia katika mazishi ya Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati John Malecela Msuya. Katika video hii, utaona: 🕊️ Heshima za mwisho kwa kiongozi mashuhuri wa taifa …
Soma zaidi »MSLAC YAGUSA NGUZO ZA JAMII SONGEA-ELIMU YA KISHERIA KWA VIONGOZI NA VIJANA 1200
LIVE kutoka Songea, Ruvuma, ambako Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) inaendelea kutoa elimu ya kisheria kwa viongozi wa serikali za mitaa, wajumbe wa mashina, vijana, na wananchi wa kawaida. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wanapata maarifa kuhusu: Haki za kiraia na kijamii Mbinu mbadala za utatuzi …
Soma zaidi »MSLAC YAGUSA NGUZO ZA JAMII SONGEA-ELIMU YA KISHERIA KWA VIONGOZI NA VIJANA 1200
LIVE kutoka Songea, Ruvuma, ambako Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) inaendelea kutoa elimu ya kisheria kwa viongozi wa serikali za mitaa, wajumbe wa mashina, vijana, na wananchi wa kawaida. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wanapata maarifa kuhusu: Haki za kiraia na kijamii Mbinu mbadala za utatuzi …
Soma zaidi »