“Hakuna Wa Kutupangi Nini Cha Kufanya ndani ya Nchi Yetu, Tuna Katiba, Sheria Na Miongozo Yetu”

( Vienna Convention on Diplomatic Relations)

Ni mojawapo ya mikataba muhimu ya kimataifa inayosimamia na kudhibiti shughuli za kidiplomasia kati ya nchi na serikali zao. Mkataba huu ulipitishwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1961 na kuanza kutumika rasmi mwaka 1964. Lengo kuu la mkataba huu ni kuhakikisha utaratibu wa mahusiano ya kidiplomasia unaendelea kwa amani, usalama, na kuheshimiana kati ya mataifa.

Ad

Majukumu ya Nchi Mwenyeji Kifungu 23:

Wawakilishi wa kibalozi hawaruhusiwi kuhusika katika masuala ya ndani ya nchi mwenyeji. Ni wajibu wa balozi kuwakilisha maslahi ya nchi yake bila kuathiri uhuru wa nchi mwenyeji.

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tanzania itaendelea mbele kama tutafanya kazi kwa pamoja na kwa uzalendo.” Mhe Rais. Dkt. Samia

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *