Maktaba ya Kila Siku: September 21, 2024

“UKIMYA WANGU SIO UJINGA, SITAKUWA NA MUHALI KWA YEYOTE ANAYETAKA KUVURUGA AMANI YETU”

“Hatutaruhusu mtu yeyote kuchafua mazingira ya amani na utulivu ambayo yamejengwa kwa miaka mingi. Tutalinda nchi yetu kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa Katiba ya Tanzania inaheshimiwa na kufuatwa na kila mmoja,” ‪@samiasuluhu99‬ Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania

Soma zaidi »