Maktaba ya Kila Siku: October 6, 2024

UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA MADINI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuboresha, kuvutia na kuwakaribisha wawekezaji katika sekta ya madini ili kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Pato la Taifa kwa ujumla. Dkt. Biteko ameongeza kuwa Rais Mhe. Dkt. Samia ametenga …

Soma zaidi »

Mchango wa Sekta ya Madini katika Pato la Taifa (GDP)

Sekta ya madini inachangia kwa kiasi kikubwa katika Pato la Taifa (GDP) la Tanzania. Mchango wa sekta hii umeongezeka kutoka asilimia 4.8 ya GDP mwaka 2016 hadi kufikia takriban asilimia 7.3 mwaka 2023-2024. Serikali inalenga kuongezeka kwa mchango wa sekta hii kufikia asilimia 10 ya GDP ifikapo mwaka 2025 kutokana …

Soma zaidi »