Maktaba ya Kila Siku: October 9, 2024

Serikali imetenga zaidi ya TZS trilioni 1.2 kwa ajili ya miradi ya maji kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024.

Miradi hii imelenga kupunguza changamoto za upatikanaji wa maji safi na salama kwa Watanzania wote, huku lengo kuu likiwa kufikia upatikanaji wa maji kwa asilimia 95 mijini na 85 vijijini ifikapo mwaka 2025. Gusa link hii kuendelea kupata taarifa hii zaidi https://matokeochanya.blogspot.com/2024/10/takwimu-chanya-za-utekelezaji-wa-miradi.html…#KaziIemdelee #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »