Maktaba ya Mwezi: October 2024

Documentary – SAFARI YA MAISHA BORA

Ni Safari ya Kutembelea Maeneo ya Mradi ya Kitwai, Saunyi na Msomera. Serikali imeendelea kutoa elimu na kuwashawishi wananchi kuhama kwa hiari ndani ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, ambapo Tarehe 14, Septemba 2024 Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro iliandaa safari ya wawakilishi wa wananchi wakiwemo viongozi, malaigwanani na wakaazi …

Soma zaidi »

Serikali imetenga zaidi ya TZS trilioni 1.2 kwa ajili ya miradi ya maji kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024.

Miradi hii imelenga kupunguza changamoto za upatikanaji wa maji safi na salama kwa Watanzania wote, huku lengo kuu likiwa kufikia upatikanaji wa maji kwa asilimia 95 mijini na 85 vijijini ifikapo mwaka 2025. Gusa link hii kuendelea kupata taarifa hii zaidi https://matokeochanya.blogspot.com/2024/10/takwimu-chanya-za-utekelezaji-wa-miradi.html…#KaziIemdelee #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »

MWENDO KASI LEOTakwimu za Sasa za Utekelezaji wa Mradi wa Mwendo Kasi kwa Mwaka 2024

Mradi wa Mwendo Kasi (BRT) nchini Tanzania unaendelea kupiga hatua kubwa katika utekelezaji wake mwaka 2024, ukilenga kuboresha usafiri wa mijini kwa kupunguza msongamano wa magari na kuharakisha safari za abiria. Awamu za Utekelezaji wa Mradi wa Mwendo Kasi (BRT) Awamu ya Kwanza (Kimara hadi Kivukoni): Mradi huu wenye urefu …

Soma zaidi »

Ni vipi miradi ya nishati nchini Tanzania inavyochangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii?

Tanzania imekuwa ikifanya maendeleo makubwa katika miradi ya nishati ili kuongeza uzalishaji wa umeme na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika. Hapa chini ni muhtasari wa takwimu za sasa za miradi mikubwa ya nishati. Mradi wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP), Ujenzi wa mradi huu wa kuzalisha MW 2,115 umekamilika kwa …

Soma zaidi »