Maktaba ya Mwezi: October 2024

UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA MADINI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuboresha, kuvutia na kuwakaribisha wawekezaji katika sekta ya madini ili kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Pato la Taifa kwa ujumla. Dkt. Biteko ameongeza kuwa Rais Mhe. Dkt. Samia ametenga …

Soma zaidi »

Mchango wa Sekta ya Madini katika Pato la Taifa (GDP)

Sekta ya madini inachangia kwa kiasi kikubwa katika Pato la Taifa (GDP) la Tanzania. Mchango wa sekta hii umeongezeka kutoka asilimia 4.8 ya GDP mwaka 2016 hadi kufikia takriban asilimia 7.3 mwaka 2023-2024. Serikali inalenga kuongezeka kwa mchango wa sekta hii kufikia asilimia 10 ya GDP ifikapo mwaka 2025 kutokana …

Soma zaidi »

Je! Wajua Mchango wa Madini ya Tanzanite katika Pato la Taifa?

Madini ya Tanzanite, yanayopatikana pekee katika eneo dogo la Mererani, Tanzania, ni miongoni mwa rasilimali muhimu zinazochangia pato la taifa kupitia sekta ya madini. Mnamo mwaka 2024, mchango wa madini ya Tanzanite kwenye pato la taifa umeimarika kutokana na hatua kadhaa za serikali na soko la kimataifa. Sekta ya madini …

Soma zaidi »

Takwimu ChanyA+ za Utekelezaji wa Miradi ya Maji (2020-2024)

Kufikia mwaka 2025, serikali inalenga kuhakikisha asilimia 85 ya wananchi wa vijijini na asilimia 95 ya wananchi wa mijini wanapata huduma za maji safi na salama. Takwimu hizi zinaonyesha maendeleo makubwa katika sekta ya maji Tanzania, huku juhudi zikiendelea kuhakikisha maji safi yanawafikia wananchi wengi zaidi nchini.

Soma zaidi »

Tanzania yaongeza idadi ya madarasa ya sayansi kufikia zaidi ya 5,000 katika shule za sekondari.

Hii ni sehemu ya juhudi za kuimarisha elimu ya sayansi na kuwahamasisha wanafunzi kujiunga na masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi, na hisabati (STEM). Mpango huu unalenga kuboresha miundombinu ya elimu, hususan kwenye masomo ya sayansi ili kuandaa wataalamu wengi zaidi katika nyanja hizo. Serikali inaendelea na juhudi za kuongeza idadi …

Soma zaidi »

Shule za Sekondari

Serikali imeendelea kuongeza idadi ya shule za sekondari za kutwa na bweni. Jumla ya vyumba vya madarasa 8,000 vimejengwa tangu mwaka 2022 ili kupunguza msongamano wa wanafunzi. #NahayaNdiyoMatokeoChanyA+ #KaziIemdelee #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »