Katika siku hii ya Mashujaa, tunawakumbuka na kuwaenzi wale wote waliotangulia mbele kwa ajili ya Taifa letu. Heri ya Siku ya Mashujaa kwa Watanzania wote!

Tujivunie historia yetu, tuendeleze uzalendo, na tuijenge Tanzania imara kwa pamoja. #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tukamate wajibu wetu tuliopewa na Mungu, wa Kukuza watoto wetu katika maadili mema”.‪@samiasuluhu99‬

Twende tukatunze Watoto wetu vile sisi tulivyotunzwa na Wazazi Wetu katika maadili mema.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *