Uzalendo ni msingi wa maendeleo ya taifa letu

“Uzalendo ni msingi wa maendeleo ya taifa letu. Ni lazima kila Mtanzania apende na kuthamini nchi yake kwa vitendo, kwa kuilinda, kuitetea, na kuhakikisha tunaacha alama bora kwa vizazi vijavyo. Kama Watanzania, tunao wajibu wa kuendeleza nchi yetu kwa umoja na mshikamano. Uzalendo si maneno tu, ni vitendo vya kila siku tunavyofanya kwa ajili ya ustawi wa taifa letu.”

@SuluhuSamia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.

Ad

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tukamate wajibu wetu tuliopewa na Mungu, wa Kukuza watoto wetu katika maadili mema”.‪@samiasuluhu99‬

Twende tukatunze Watoto wetu vile sisi tulivyotunzwa na Wazazi Wetu katika maadili mema.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *