Tanzania imekuwa ikifanya maendeleo makubwa katika miradi ya nishati ili kuongeza uzalishaji wa umeme na kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika.

Mradi wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP): Ujenzi wa mradi huu wa kuzalisha MW 2,115 umekamilika kwa zaidi ya asilimia 85. Unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa umeme na kuchangia zaidi ya MW 2,100 kwenye gridi ya taifa, hivyo kuzalisha umeme wa kutosha kwa nchi nzima.

Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP): Mradi huu unajumuisha kilomita 1,443 za bomba kutoka Uganda hadi Bandari ya Tanga. Unatarajiwa kuongeza fursa za ajira na mapato ya serikali kupitia mafuta ghafi.

Ad

Mradi wa Nishati Jadidifu: Tanzania imekuwa ikiwekeza kwenye nishati jadidifu kama vile umeme wa upepo na jua. Kwa sasa kuna miradi ya kuzalisha MW 600 kutoka nishati ya jua na MW 150 kutoka nishati ya upepo inayoendelea kutekelezwa.

Gusa link hii kuendelea kupata taarifa hii zaidi

https://matokeochanya.blogspot.com/2024/10/ni-vipi-miradi-ya-nishati-nchini.html…

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli (Juliana Stephano Kidaso) katika eneo la Kigongo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *