AU
Soma zaidi »LATE LIVE; RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA IKULU
LIVE; HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI MRADI WA UBIRESHAJI WA HUDUMA ZA MAJI SAFI WILAYANI ARUMERU MKOANI ARUSHA.
#SisiNiTanzaniaMpyA+ #MATAGA https://youtu.be/hA9LnUbjuE0
Soma zaidi »MUFTI: “NI LAZIMA DINI TUKEMEE USHOGA!”
Ni Mufti Abubakar Zuberi bin Ally Asema hayo alipokuwa akizungumza katika Baraza la Kitaifa la Maulid lililofanyika Korogwe mkioani Tanga. Amesema haiwezekani waumin wabaki wanafanya ibada lakini vitendo vya ushoga vinatokea na wanaovifanya wanaonekana na kuachwa bila kukemewa. Adai kidin, yapo mambo mawili; La kwanza ni kukataza (kukemea) na kuamrisha …
Soma zaidi »LIVE IKULU: HAFLA YA KUAPISHWA MAWAZIRI WATEULE
#SisiNiTanzaniaMpyA+
Soma zaidi »FINALLY; WALIOMTEKA MO WATAMBULIKA KWA MAJINA!
Ni raia wawili wa Afrika ya Kusini.. wapelelezi watambua majina yao na walipokuwa wakiishi jijini Dar es Salaam kwa muda wa miezi kadhaa. Walifikia hotel ya Whitesands na kisha kupanga nyumba eneo la Mbezi Beach kama wafanyabiashara wa Madini. Nyumba na chumba waliomfungia mfanyabiashara huyo wapelelezi mahiri wa vyombo vya …
Soma zaidi »RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOSAFIRISHA KOROSHO.
Asisitiza yeye na serikali awamu ya tano, HATINGISHWI! Alitaka Jeshi la Wananchi kuwa tayari kwa oparesheni Korosho kuanzia Jumatatu jioni tarehe 12 Novemba, 2018. Aeleza kuwa serikali ina fedha yote ya kununua korosho yote iliyozalishwa katika msimu wa kilimo. tazama hotuba za utangulizi na hotuba ya Mhe. Rais kabla ya …
Soma zaidi »LIVE KUTOKA IKULU: RAIS MAGUFULI AKUTANA NA TIMU YA WATAALAMU WA MATIBABU YA MOYO
#MATAGA
Soma zaidi »LIVE: MKUTANO WA 13 WA BUNGE KIKAO CHA KWANZA
Viapo vya Wabunge wapya waliochaguliwa katika chaguzi ndogo kadhaa. Kipindi cha maswali na majibu
Soma zaidi »