RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Serikali Yaandaa Mpango wa Mageuzi ya Sekta ya Mifugo ili Kukuza Ufugaji wa Kisasa Nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa Serikali imeandaa mpango wa mageuzi ya sekta ya mifugo ambao utasaidia kupunguza changamoto zinazokabili sekta hiyo nchini. Dkt. Biteko alitoa wito kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kubuni mbinu na mikakati ya kuondokana na ufugaji usio na …

Soma zaidi »

Rais Samia Asherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika Pamoja na Wajukuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika akiwa pamoja na wajukuu wake katika Ikulu jijini Dar es Salaam. Siku hii huadhimishwa kila mwaka tarehe 16 Juni. Katika maadhimisho haya, Rais Samia amesisitiza umuhimu wa Serikali, familia, na jamii kwa …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AWEKA MSISITIZO KATIKA MAGEUZI YA KUKUA KIUCHUMI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kuweka msisitizo juu ya muendelezo wa mageuzi katika Mashirika na Taasisi za Umma kwa lengo la kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi katika Taifa letu la Tanzania kwa manufaa ya Taifa na Watanzania wote kwa ujumla. Rais …

Soma zaidi »

Kongamano la JUMIKITA 2024, Kujadili Mchango wa Miaka Mitatu ya Rais Samia na Uhuru wa Vyombo vya Habari Tanzania.

Tarehe 21 Mei 2024, Kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) limepata heshima ya kuwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kama mgeni rasmi. Kongamano hili ni jukwaa muhimu ambalo linawakutanisha wanahabari wa mitandao ya kijamii kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania ili kujadili masuala muhimu ya kijamii, …

Soma zaidi »

Msalaba Mwekundu Tanzania: Nguzo ya Kibinadamu na Ustawi Katika Kukabili Majanga na Kuimarisha Jamii

Shirika la Msalaba Mwekundu Tanzania ni sehemu ya Mtandao wa Kimataifa wa Msalaba Mwekundu na Mwezi Mwekundu, ambao ni muungano wa mashirika ya kibinadamu yanayotoa misaada ya dharura na huduma za kijamii katika nchi mbalimbali duniani. Shirika hili nchini Tanzania lina wajibu mkubwa katika kusaidia jamii hasa wakati wa majanga …

Soma zaidi »

WIZARA, TAASISI ZAAGIZWA KUZINGATIA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Wizara, Taasisi, Mamlaka, wadau na sekta binafsi zimeagizwa kuzingatia matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ili kulinda mazingira na athari nyingine zinazotokana na nishati isiyo safi. Agizo hilo limetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo (Mei 8, 2024) Jijini Dar es salaam …

Soma zaidi »

MH. RAIS SAMIA SULUHU KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA JIJINI NAIROBI KENYA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. Dkt. William Ruto mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) Jijini Nairobi nchini Kenya tarehe 29 Aprili, 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano …

Soma zaidi »