Maktaba ya Kila Siku: May 1, 2024
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa ajili ya maandimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI)
Arusha Tanzania Mei Mosi, 2024
Soma zaidi »BEI KIKOMO ZA PETROLI KWANZIA MEI 1 2024
HERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI, MEI MOSI
Tunawatakia Watanzania wote Heri ya Siku ya Wafanyakazi, Mei Mosi! Ni siku muhimu ya kuenzi mchango wa wafanyakazi katika kujenga taifa letu na kutambua haki zao. Tunatumai kila mtu anaweza kusherehekea siku hii kwa furaha na matumaini ya siku zijazo zenye mafanikio zaidi. #Tanroads #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Sisinitanzania …
Soma zaidi »Makamu wa Rais amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwapungia mkono Wafanyakazi mbalimbali waliojitokeza katika Sherehe za Mei Mosi wakati akiwasili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei 2024.
Soma zaidi »