WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Mhe. Dkt. Philip Mpango katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi zawadi Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma iliyotolewa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Chama hicho yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa …

Soma zaidi »

Mkutano wa 21 wa Majaji wa Afrika Mashariki. Fursa kwa Haki, Ushirikiano, na Maendeleo ya Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 03, 2024 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa Ishirini na Moja wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki. Mkutano huo unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hotel ya Grand Melia, jijini Arusha Mkutano wa Ishirini na Moja wa Chama …

Soma zaidi »

UZALENDO NI FIKRA CHANYA+ NA KIPIMO CHA UTU KULINGANA NA KATIBA NA MILA ZA TANZANIA

Uzalendo ni fikra chanya na kipimo cha utu kulingana na katiba ya Tanzania na mila na desturi zake. Katika muktadha huu, uzalendo unamaanisha upendo na kujitolea kwa nchi yako, kuwa tayari kutanguliza maslahi ya taifa mbele ya maslahi binafsi. Hii ni sehemu muhimu ya utamaduni na maadili ya Watanzania. Uzalendo …

Soma zaidi »

Mapitio ya Utekelezaji na Mwenendo wa Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024

A. MUUNDO NA MAJUKUMU YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA 1. Mheshimiwa Spika,muundo na majukumu ya Wizara yameainishwa katika ibara ya 17 na 18ya Kitabu cha Hotuba yangu. B. MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 2. Mheshimiwa Spika, masuala yaliyozingatiwa na maeneo …

Soma zaidi »

Mkutano wa Tatu wa Jukwaa la Haki za Watoto

Tarehe 4 hadi 5 Aprili 2024, umefanyika Mkutano wa Tatu wa Jukwaa la Haki za Watoto katika Hoteli ya Four Points, Jijini Arusha. Mkutano huu ulikuwa na lengo la kujadili masuala yanayohusu ulinzi na ustawi wa watoto katika mifumo ya kisheria nchini Tanzania. Mkutano huo uliendeshwa na Mheshimiwa Dkt. Pindi …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI ATAKA KISWAHILI KUTUMIKA MAHAKAMANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Viongozi mbalimbali, Wafanyakazi wa Mahakama, Majaji pamoja na wananchi wa mkoa wa Dodoma katika kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria nchini na miaka 100 ya Mahakama Kuu yaliyofanyika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma leo …

Soma zaidi »

PROFESA MCHOME AITAKA TUMESHERIA KUFANYA TATHMINI YA SHERIA KUELEKEA UCHUMI WA JUU

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Profesa Sufini Mchome ameitaka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (TUMESHERIA) kuangalia mifumo na sheria itakayoiwezesha Tanzania kuelekea uchumi wa juu kutoka katika nchi za uchumi wa kipato cha kati uliopo sasa. Akizungumza wakati wakifungua mkutano wa 15 wa Baraza la Wafanyakzi la Tume …

Soma zaidi »

SHERIA, MWENENDO WA MASHAURI NA HUKUMU ZIANDIKWE KWA LUGHA YA KISWAHILI – DKT MWIGULU NCHEMBA

Waziri wa katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati akizungumza na Menejimenti ya Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania (Law School of Tanzania) wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara ya kikazi Jijini Dar es salaam tarehe 22 Disemba 2020. Serikali imedhamiria kuwasaidia kwa …

Soma zaidi »

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DKT MWIGULU AAGIZA RITA KUHAMIA DODOMA

Serikali imeutaka Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) wenye maskani yake Jijini Dar es salaam kuanza mchakato wa haraka kuhakikisha unahamia Jijini Dodoma. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba tarehe 21 Disemba 2020 wakati akizungumza na watumishi wa taasisi hiyo akiwa katika …

Soma zaidi »