TANZANIA YASHIRIKI MAANDALIZI YA MKUTANO WA KUJADILI MAENDELEO ENDELEVU

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban (wakwanza kulia), akifuatilia majadiliano mbalimbali wakati wa Kikao cha Kwanza cha Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ugharamiaji kwa Maendeleo Endelevu (Fouth International Conference on Financing for Deveoplopment – FfD4, kinachoendelea kufanyika hadi 26 Julai 2024 jijini Addis Ababa nchini Ethiopia, ikiwa ni siku ya kwanza ya kikao hicho, Bi. Amina ameshiriki mkutano huo kwaniaba ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb).

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tukamate wajibu wetu tuliopewa na Mungu, wa Kukuza watoto wetu katika maadili mema”.‪@samiasuluhu99‬

Twende tukatunze Watoto wetu vile sisi tulivyotunzwa na Wazazi Wetu katika maadili mema.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *