Maktaba ya Mwezi: July 2024

Malezi bora ni msingi muhimu kwa taifa imara, na Katiba ya Tanzania inaweka misingi ya kuhakikisha watoto wanapata haki zao za msingi. Kifungu cha 11 cha Katiba kinatamka kuwa kila mtu ana haki ya kupata elimu. Kwa hivyo, kuhakikisha watoto wanapata elimu bora ni kutimiza hitaji la kikatiba.

Aidha, Katiba inasisitiza maadili na uzalendo. Malezi bora yanajumuisha kuwafundisha watoto maadili mema, heshima, na upendo kwa taifa lao. Kwa kuwalea watoto katika mazingira yenye maadili mema na kuwapatia elimu bora, tunawaandaa kuwa raia wema na wenye uzalendo wa kweli. Hii inasaidia kujenga taifa lenye umoja, amani, na maendeleo. #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu …

Soma zaidi »

FAIDA ZA SGR KWA UCHUMI WA TANZANIA, SEKTA YA USAFIRISHAJI, NA AJIRA.

SGR ina uwezo wa kubeba hadi tani 10,000 za mizigo kwa mara moja. Hii inamaanisha inaweza kusafirisha mizigo mikubwa kwa urahisi na ufanisi mkubwa. Ina kasi ya hadi kilomita 160 kwa saa kwa treni za abiria na kilomita 120 kwa saa kwa treni za mizigo. Kasi hii inafanya iwezekane kusafirisha …

Soma zaidi »

SGR; MRADI WA KIMKAKATI WA KUBORESHA UCHUMI WA TANZANIA NA KUSUKUMA MAENDELEO

SGR itapunguza muda wa safari kwa abiria kati ya miji mikubwa kama Dar es Salaam na Mwanza, hivyo kuboresha urahisi wa kusafiri na kuhamasisha biashara na utalii. Kupunguza Gharama za Usafirishaji Reli hii itawezesha usafirishaji wa mizigo kwa haraka na kwa gharama nafuu ikilinganishwa na barabara. Hii itasaidia wafanyabiashara kupunguza …

Soma zaidi »

4R: FALSAFA ZA MARIDHIANO, USTAHIMILIVU, MABADILIKO, NA KUJENGA UPYA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA TAIFA

(4R) Falsafa hizi nne zinalenga kuimarisha umoja, kuleta ustawi na maendeleo ya kudumu kwa taifa, na kuhakikisha kuwa serikali inawajibika kwa wananchi wake.  1.Maridhiano (Reconciliation) Hii inahusu juhudi za kuleta amani na umoja katika jamii kwa kusuluhisha tofauti na migogoro iliyopo. Lengo ni kuimarisha mshikamano wa kitaifa na kuhakikisha kuwa …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Soma zaidi »

Meli tatu za kivita za Jeshi la Ukombozi wa Watu wa China  zimewasili katika Bandari ya Dar es Salaam zikiwa na wanajeshi kadhaa kwa ajili ya kushiriki mazoezi ya pamoja na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ikiwa ni sehemu  maadhimisho miaka 60 ya Jeshi hilo na ushirikiano kati ya Nchi ya Tanzania na China tangu kuanzishwa kwake.

Akizungumza Julia 24, 2024 katika Bandari ya Dar es Salaam wakati akipokea Meli tatu za Jeshi la Ukombozi wa Watu wa China, Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji Tanzania NAVY, Rear Admiral Ameir Ramadan Hassan, amesema kuwa  ujio wa meli hizo kutoka Jamhuri ya Watu wa China ni sehemu …

Soma zaidi »

Katika siku hii ya Mashujaa, tunawakumbuka na kuwaenzi wale wote waliotangulia mbele kwa ajili ya Taifa letu. Heri ya Siku ya Mashujaa kwa Watanzania wote!

Tujivunie historia yetu, tuendeleze uzalendo, na tuijenge Tanzania imara kwa pamoja. #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Soma zaidi »

TANZANIA YASHIRIKI MAANDALIZI YA MKUTANO WA KUJADILI MAENDELEO ENDELEVU

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban (wakwanza kulia), akifuatilia majadiliano mbalimbali wakati wa Kikao cha Kwanza cha Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ugharamiaji kwa Maendeleo Endelevu (Fouth International Conference on Financing for Deveoplopment – FfD4, kinachoendelea kufanyika hadi 26 Julai 2024 …

Soma zaidi »