Maktaba ya Kila Siku: August 3, 2024

Uzinduzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mtibwa, Rais Samia Aimarisha Sekta ya Kilimo na Uzalishaji wa Sukari Nchini

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 na Awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba na umwagiliaji katika Kiwanda cha Sukari Mtibwa, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, tarehe 03 Agosti, 2024. Uzinduzi …

Soma zaidi »