Maktaba ya Kila Siku: September 28, 2024

Mradi wa Maji Same -Mwanga-Korogwe , Sio Ndoto Tena!

Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe umefikia asilimia 95.5 ya utekelezaji wake kufikia August 2024. Mradi huo unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 262 na unatarajiwa kuhudumia zaidi ya wakazi 400,000. Kwa Wilaya ya Same, mabomba ya usambazaji maji yamewekwa kwa umbali wa kilomita 17.755, wakati Wilaya ya Mwanga imefikia kilomita …

Soma zaidi »