Maktaba ya Mwaka: 2024
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ni siku maalum kwa ajili ya wafanyakazi kutafakari na kutathmini namna walivyotekeleza malengo waliyojiwekea katika mwaka husika.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa ajili ya maandimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI)
Arusha Tanzania Mei Mosi, 2024
Soma zaidi »BEI KIKOMO ZA PETROLI KWANZIA MEI 1 2024
HERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI, MEI MOSI
Tunawatakia Watanzania wote Heri ya Siku ya Wafanyakazi, Mei Mosi! Ni siku muhimu ya kuenzi mchango wa wafanyakazi katika kujenga taifa letu na kutambua haki zao. Tunatumai kila mtu anaweza kusherehekea siku hii kwa furaha na matumaini ya siku zijazo zenye mafanikio zaidi. #Tanroads #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Sisinitanzania …
Soma zaidi »Makamu wa Rais amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwapungia mkono Wafanyakazi mbalimbali waliojitokeza katika Sherehe za Mei Mosi wakati akiwasili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei 2024.
Soma zaidi »Serikali Yathibitisha Ujenzi wa Barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji Kuongezewa Urefu wa Kilometa 10
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amefichua kuwa serikali imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji, ambayo itaboresha miundombinu muhimu katika eneo hilo lenye umuhimu mkubwa. Akizungumza katika ziara yake ya kikazi huko Wilayani Kigamboni, Mkoani Dar es Salaam, Bashungwa alifichua kuwa …
Soma zaidi »Mapitio ya Utekelezaji na Mwenendo wa Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024
A. MUUNDO NA MAJUKUMU YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA 1. Mheshimiwa Spika,muundo na majukumu ya Wizara yameainishwa katika ibara ya 17 na 18ya Kitabu cha Hotuba yangu. B. MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 2. Mheshimiwa Spika, masuala yaliyozingatiwa na maeneo …
Soma zaidi »MH. RAIS SAMIA SULUHU KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA JIJINI NAIROBI KENYA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. Dkt. William Ruto mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) Jijini Nairobi nchini Kenya tarehe 29 Aprili, 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano …
Soma zaidi »Baraza la Vyama vya Siasa Latangaza Mkakati Mpya wa Kuongeza Ufanisi na Kuimarisha Demokrasia Tanzania
Baraza la Vyama vya Siasa limetoa pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuimarisha demokrasia kwa kuboresha Baraza lenyewe. Pongezi hizi zimetolewa na Salum Mwalimu, ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, akionyesha shukrani kwa kazi iliyofanywa na Kamati ya Uongozi katika kuongeza ufanisi wa Baraza, kufanikisha …
Soma zaidi »