Takwimu za Utekelezaji wa Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) Tanzania: 2017 – 2024

Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) nchini Tanzania ulianza kutekelezwa mwaka 2017 ukiwa na lengo la kuboresha usafiri wa reli na kukuza uchumi. Awamu ya kwanza ilianza na ujenzi wa reli kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro (300 km) na ilikamilika mwaka 2022. Awamu ya pili, Morogoro hadi Makutupora (422 km), imekamilika mwaka 2023. Awamu zinazofuata zinahusisha kipande cha Makutupora hadi Mwanza na matawi ya reli kuelekea Burundi na Rwanda.

Mpaka 2024, zaidi ya kilomita 1000 za reli zimekamilika. Treni hii inatarajiwa kusafirisha abiria 17,000 kwa siku na mizigo tani 10 milioni kila mwaka. SGR inachangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi kwa kupunguza gharama za usafirishaji, kuongeza kasi ya usafiri, na kurahisisha biashara za kikanda.

Ad
Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tanzania itaendelea mbele kama tutafanya kazi kwa pamoja na kwa uzalendo.” Mhe Rais. Dkt. Samia

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *