✔️Serikali yatekeleza ahadi kabla ya siku tatu ✔️Megawati 235 nyingine kuingizwa Machi, 2024 ✔️Uzinduzi rasmi kufanyika mwezi Machi mwaka huu* ✔️Dkt. Biteko asema hakuna kulala; vyanzo vipya kutekelezwa ✔️Mkandarasi apongeza usimamizi wa Dkt.Biteko
Soma zaidi »Waziri wa habari, mawasiliano,na teknolojia ya habari Mhe Nape Nnauye (Mb), akishuhudia Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, pamoja na Afisa Mtendaji wa Benki ya NMB Tanzania, Bi. Ruth Zaipuna, wakitia saini makubaliano ya ushirikiano kati ya Wizara na Benki hiyo.
@wizarahmth @Nnauye_Nape
Soma zaidi »FAIDA YA MSINGI WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KANUNI YAKE YA 4R KATIKA KUONGOZA NCHI
Kukamilisha mazungumzo ya kuongeza ushiriki wa uwekezaji wa TPDC kwenye kitalu cha gesi Mnazi Bay mkoani Mtwara, ili kuongeza hisa na umiliki zaidi wa TPDC kwenye kitalu hicho kutoka 20% za sasa hadi 40%. Kufungua fursa kwa sekta binafsi kupitia Kongamano la Biashara na Uwekezaji kwa lengo la kuvutia uwekezaji …
Soma zaidi »REKODI 10 ZA RAIS SAMIA SULUHU AMBAZO HAZIJAWAHI KUFANYWA NA RAIS YEYOTE TANZANIA.
NA HAYA NDIYO MATOKEO CHANYA+
Soma zaidi »