Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha wageni mashuhuri mara baada ya kuweka shada la maua kwenye mnara wa kumbukumbu ya Makaburi ya Mashujaa ya Kalibata wakati wa ziara yake ya Kitaifa Jakarta nchini Indonesia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo katika Ofisi za Rais huyo Bogor Presidential Palace
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo wakati akipanda mti wa kumbukumbu mara baada ya kupokewa Rasmi katika viwanja vya Makazi ya Rais huyo Bogor Presidential Palace
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo wakati wakielekea kupanda mti wa kumbukumbu katika viwanja vya Makazi ya Rais huyo Bogor Presidential Palace
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la heshima wakati wa mapokezi yake Rasmi katika viwanja vya Bogor Presidential Palace
1. Reconciliation (Upatanishi): Ruhusu maandamano ya upinzani: Hatua ya Jeshi la Polisi kuruhusu maandamano ya CHADEMA inaweza kutazamwa kama juhudi za upatanishi na kujenga daraja kati ya serikali na upinzani. #MSLAC #mamasamialegalaidcampaign
Ushirikiano kati ya serikali na upinzani: Pongezi kutoka kwa viongozi wa CHADEMA kwa Rais Samia zinaonyesha muktadha wa upatanishi na ushirikiano wa kisiasa. #MSLAC #mamasamialegalaidcampaign
‘4R’ ILIYOANZISHWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN INA ATHARI CHANYA KATIKA MWELEKEO WA SIASA NA DEMOKRASIA NCHINI TANZANIA.
Inaonekana kwamba falsafa ya ‘4R’ iliyoanzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan ina athari chanya katika mwelekeo wa siasa na demokrasia nchini Tanzania. Hapa ni uchambuzi wa kina kuhusu maandamano haya na jinsi yanavyoendana na falsafa hiyo na katiba ya Tanzania. 1. Reconciliation (Upatanishi): Ruhusu maandamano ya upinzani: Hatua ya Jeshi la …
Soma zaidi »FAIDA YA MSINGI WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KANUNI YAKE YA 4R KATIKA KUONGOZA NCHI
Kukamilisha mazungumzo ya kuongeza ushiriki wa uwekezaji wa TPDC kwenye kitalu cha gesi Mnazi Bay mkoani Mtwara, ili kuongeza hisa na umiliki zaidi wa TPDC kwenye kitalu hicho kutoka 20% za sasa hadi 40%. Kufungua fursa kwa sekta binafsi kupitia Kongamano la Biashara na Uwekezaji kwa lengo la kuvutia uwekezaji …
Soma zaidi »