RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

RAIS SAMIA AZUNGUMZA KWA NJIA YA MTANDAO NA BW. BEN VAN BEURDEN AFISA MTENDAJI MKUU WA KAMPUNI YA ROYAL DUTCH SHELL

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 04 Oktoba, 2021 amezungumza kwa njia ya mtandao na Bw. Ben Van Beurden Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Royal Dutch Shell yenye makao yake makuu  nchini Uholanzi. Bw. Van Beurden amemshukuru Mhe. Rais Samia na kueleza …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI NGO’S NA AONGOZA WATANZANIA KUAGA MWILI WA OLE NASHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Taarifa ya Kielektroniki ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali NGO’s kwa maendeleo ya Taifa katika mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali Nchini (NGO’s) uliofanyika leo Sept 30,2021 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijji …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA IKULU CHWAMWINO

Rais Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 28 Septemba, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Hafez Ghanem, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika mazungumzo hayo, Rais Samia amemueleza Dkt. Ghanem vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Sita ambavyo ni kuboresha huduma za jamii ikiwemo …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA WACHUNGAJI NA MAASKOFU NA MMADHIMISHO YA MIAKA 50 YA ANGLKANA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Kongamano la Wachungaji na Maaskofu wa Kanisa Anglikana Tanzania na Maadhimisho ya Miaka 50 Kanisa hilo katika Viwanja vya Chuo Kikuu ST. John’s Jijji Dodoma leo Sept 28,2021. Caption. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA – IDADI YA WAWEKEZAJI NA WAFANYABIASHARA IMEONGEZEKA KWA KIWANGO KIKUBWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi wa Wilaya ya Dodoma Mjini waliofika kumpokea katika eneo la Chinangali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Dodoma akitokea Jijini Dar essalaam tarehe 26 Septemba ,2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AHUTUBIA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, tarehe 23 Septemba, 2021 amehutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuihakikishia Jumuiya ya Kimataifa kuwa katika uongozi wake, Tanzania itaendelea kuwa mstari wa mbele katika kushirikiana na mataifa na wadau wengine duniani kutatua changamoto zinazoukabili ulimwengu hivi sasa. …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA JUKWAA LA WAFANYA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA MAREKANI

Rais Samia Suluhu Hassan, tarehe 22 Septemba, 2021 ameshiriki mkutano wa pamoja kati ya wafanyabiashara wa Tanzania na Marekani na kuhimiza kuimarishwa kwa biashara kati ya mataifa hayo mawili ili kuwa na faida kwa pande zote. Rais Samia amewaeleza wafanyabiashara hao kuwa kwa sasa biashara zinazofanyika kati ya Tanzania na …

Soma zaidi »