Vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Lumumba Zanzibar kama linavyoonekana baada ya kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Mandhari ya Nje Ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Lumumba Zanzibar kama linavyoonekana baada ya kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Mandhari ya ndani ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Lumumba Zanzibar kama linavyoonekana baada ya kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimwagilia mti maji mara baada ya ufunguzi wa Hospitali ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Lumumba Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifanya ukaguzi katika moja ya sehemu zitolewazo huduma mbalimbali za matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi Lumumba Zanzibar.
Jengo wa Wizara ya Maji, katika Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Lumumba Zanzibar.
RAIS SAMIA AKIFUNGUA JENGO LA KITEGA UCHUMI CHAKE CHAKE, PEMBA
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Chake Chake Kisiwani Pemba mara baada ya kufungua Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) Karafuu House, Chake Chake Kisiwani Pemba tarehe 09 Januari, 2024.
Soma zaidi »