Tanzania MpyA+

AGIZO LA WAZIRI KALEMANI KUPELEKA UMEME KABUKOME LAAMSHA NDEREMO

Wananchi wa kijiji cha Kabukome, Kata ya Nyalubungo, wilayani Biharamulo, Mkoa wa Kagera, wameruka kwa nderemo na vifijo, wakifurahia maagizo aliyoyatoa Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani Desemba 5, 2019, kuwa kijiji hicho kiwe kimewashiwa umeme ifikapo Januari 30 mwakani. Waziri alitoa maagizo hayo mbele ya umati wa wananchi wa …

Soma zaidi »

MAZINGIRA SI KIKWAZO KWA WAWEKEZAJI – WAZIRI SIMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima amesema Serikali imefanya mapitio ya Kanuni ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira ili kurahisha uwekezaji nchi. Akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji katika Mkutano  wa Mashauriano baina yao na Serikali katika ukumbi wa Hoteli ya Glonency mkoani  Morogoro, Naibu Waziri …

Soma zaidi »

WAZIRI KALEMANI AKAGUA UJENZI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME BULYANHULU NA KUTOA MAELEKEZO

Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Desemba 4, 2019 amekagua maendeleo ya ujenzi unaolenga kupanua kituo cha kupoza umeme Bulyanhulu, wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga na kutoa maelekezo kadhaa kwa uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na mkandarasi husika. Akiwa amefuatana na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha, …

Soma zaidi »

KUNA VISHAWISHI VINGI KWA WATUMISHI MADINI – WAZIRI BITEKO

Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kuna vishawishi na majaribu mengi kwa watumishi wa wizara ya Madini na Taasisi zote za chini ya wizara ya madini kutokana na wadau wake wengi ni wenye fedha nyingi hivyo ni rahisi kuwashawishi kwa rushwa na kupelekea mtumishi kufanya maamuzi yasiyo na maadili akisema …

Soma zaidi »

NAUMIA SANA KUONA BIDHAA AU KITU CHOCHOTE KINACHOHUSIANA NA SEKTA YA MADINI KIKIINGIZWA KUTOKA NJE – WAZIRI BITEKO

Upungufu wa madini ya Chumvi kwenye viwanda vya chumvi hapa nchini unamsikitisha waziri wa madini Doto Biteko kutokana na uwepo wa mahitaji (soko) makubwa ya wanunuzi wa madini hayo huku madini hayo yakiwa hayapatikani kwa wingi kutosheleza mahitaji kutokana na uzalishaji mdogo kutoka kwa wachimbaji wa madini hayo huku wanunuzi …

Soma zaidi »

WANANCHI VIJIJINI RUKSA KULIPIA UMEME KWA KUDUNDULIZA

Wananchi wa maeneo ya vijijini ambao hawana uwezo wa kulipia shiingi 27,000 za kuunganishiwa umeme kwa mkupuo, sasa wanaweza kulipia huduma hiyo kwa kudunduliza kidogo kidogo. Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani aliyasema hayo Disemba 3, 2019 kijijini Mnekezi, wilayani Chato, ambapo alikuwa akizungumza na wananchi kabla ya kuwasha rasmi …

Soma zaidi »

TANZANIA NA NAMIBIA ZAJIDHATITI KUKUZA SEKTA YA BIASHARA

Serikali ya Tanzania na ya Namibia zajidhatiti kukuza na kuendeleza kiwango cha biashara na uchumi kwa kutumia rasilimali zinazopatikana kati ya mataifa hayo. Makubaliano hayo yamefikiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) pamoja na Naibu Waziri Mkuu na Waziri Wizara …

Soma zaidi »