Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura, Chamwin
Tarehe 17 Mei, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino, iliyopo Kata na Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma. Afisa Mwandikishaji wa majimbo ya Chamwino na …
Soma zaidi »