Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimpa onyo, Mtendaji Mkuu wa TEMESA, Mhandisi Japhet Maselle, baada ya kutoridhishwa na utendaji wake, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020, katikati ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe. ( Picha na …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JNHPP
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha Megawati 2,115 na amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Dkt. Tito Mwinuka asimamie mradi huo ili ukamilike kwa wakati. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nishati …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo la ajira kwa kuajiri wafanyakazi 18,700. “Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huu, kumesaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa kutoa ajira 7,400 kwa kipande cha Dar hadi Morogoro. Kipande cha Morogoro hadi …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU MAJALIWA AZUNGUMZA NA BODI YA NHC
WAZIRI MKUU AMPONGEZA BONDIA SALIM MTANGO ALIYESHINDA MKANDA WA DUNIA WA UBO
MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI MJINI DODOMA
WAZIRI MKUU AKIWA NA WABUNGE MBALIMBALI BUNGENI MJINI DODOMA
MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI
NATOA WITO KWA WAZAZI KUTOWARUHUSU WATOTO KUREJEA CHINA MPAKA PALE SERIKALI ITAKAPOJIRIDHISHA NA HALI INAVYOENDELEA NCHINI HUMO – WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wanaosoma nchini China kutoruhusu watoto hao kurudi nchini humo kwasasa mpaka pale Serikali itakapotoa tamko baada ya kupata taarifa kutoka kwa Balozi wa Tanzania Nchini China Mbelwa Kairuki kuhusu hali inavyoendelea nchini humo kufuatia ugonjwa unao sababishwa na kirusi cha …
Soma zaidi »KILA MTANZANIA ANAWEZA KUWEKEZA, TUMIENI FURSA ZILIZOPO – WAZIRI KAIRUKI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji nchini Mhe. Angellah Kairuki amewaasa wananchi kuthubutu uwekezaji katika maeneo yenye tija kwa kuzitumia fursa za uwekezaji zilizopo ili kujikwamua kiuchumi na kujiletea maendeleo yao na nchi kwa ujumla. Ametoa kauli hiyo tarehe 23 Januari, 2020 alipokuwa akizungumza na …
Soma zaidi »