Maktaba ya Kila Siku: September 22, 2019

LIVE:RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI ALIOWATEUA – IKULU DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli awaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua tarehe 20 Septemba, 2019 1.Bw. Loata Sanare kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Bw. Sanare anachukua nafasi ya Dkt. Kebwe Stephen Kebwe ambaye uteuzi wake umetenguliwa. 2. Bw. Tixon Tuyangine Nzunda kuwa Katibu Mkuu, …

Soma zaidi »