Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa,Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali na wageni waalikwa katika hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa kwaajili ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba wakati wa ziara yake nchini Tanzania. Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 24 Januari 2024.Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa,Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali na wageni waalikwa katika hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa kwaajili ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba

Ad

Unaweza kuangalia pia

Serikali ya Tanzania na Czech Zakubaliana Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili

Serikali za Tanzania na Czech kukuza ushirikiano wa kiuchumi na kuvutia uwekezaji kati yao. Kuondoa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *