Maktaba ya Kila Siku: January 2, 2024

MAANDALIZI MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA YAKAMILIKA, KUFANYIKA UKUMBI WA JNICC

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji, Francis K. Mutungi akitoa ufafanuzi wakati wa Kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vyama vya Siasa kilichoketi leo tarehe 2 Januari 2024 jijini Dar es Salaam. Kikao hicho cha maandalizi ya mwisho kuelekea Mkutano Maalum wa wadau wa Demokrasia na Vyama vingi …

Soma zaidi »

TRA Imekusanya Tsh. Trilioni 3.05 mwezi Desemba 2023.

TRA ilikusanya Trilioni 3.05 mwezi Desemba 2023, ukusanyaji wa juu zaidi kwa mwezi katika historia. Ilipita lengo lake kwa asilimia 102.9%. Mwelekeo wa Ukusanyaji wa Mapato kwa miezi 6 iliyopita. Julai – Trilioni 1.9 ,Agosti – Trilioni 2 ,Septemba – Trilioni 2.6 , Oktoba – Trilioni 2.148 ,Novemba – Trilioni 2.143 ,Desemba – Trilioni 3.049. Wajibu …

Soma zaidi »

MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

DEMOKRASIA”Mjadala kuhusu Uelewa wa 4R’s (Reconciliation (Maridhiano), Reform (Mageuzi), Rehabilitation. (Kurejesha hali ya kawaida), and Rebuilding (kujenga upya). MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASADEMOKRASIA”Mjadala kuhusu Uelewa wa 4R’s (Reconciliation (Maridhiano), Reform (Mageuzi), Rehabilitation. (Kurejesha hali ya kawaida), and Rebuilding (kujenga upya). #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani “TOA MAONI YAKO, KUIMARISHADEMOKRASIA". pic.twitter.com/P3HUnfkQF4— Matokeo …

Soma zaidi »

FALSAFA YA 4R’s YA RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN

RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN alianzisha falsafa ya 4R’s (Reconciliation-Maridhiano, Resilience – Uthabiti, Reforms – Mageuzi naRebuilding- Ujenzi Upya,) ili kudumisha amani,utulivu na kushughulikia masuala ya siasa, kijamii, kisiasa na kiuchumi nchini. RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN alianzisha falsafa ya 4R’s (Reconciliation-Maridhiano, Resilience – Uthabiti, Reforms – Mageuzi …

Soma zaidi »