MKOA WA GEITA

VIONGOZI, WASANII NA WANANCHI WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA HAYATI DKT MAGUFULI KIJIJINI CHATO MKOANI GEITA

Makamanda wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Uwanja wa Magufuli kijijini Chato mkoani Geita leo Machi 25, 20121 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdullah akiongoza wananchi kutoa heshima za mwisho kwa …

Soma zaidi »

RAIS DKT. MAGUFULI AZINDUA SHAMBA LA MITI CHATO MKOANI GEITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, Waziri wa Madini Doto Biteko, Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu TFS Profesa Dos Santos Silayo pamoja na viongozi …

Soma zaidi »

RAIS DKT MAGUFULI AMPOKEA MGENI WAKE RAIS WA ETHIOPIA SAHLE-WORK ZEWDE ALIYEWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Ethiopia Mhe. Sahle-Work Zewde mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita mjini Chato leo Jumatatu Januari 25, 2021kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Rais wa Jamhuri ya Muungano …

Soma zaidi »

RAIS DKT MAGUFULI AMPOKEA RAIS WA MSUMBIJI FILIPE NYUSI GEITA, AWEKA NAE JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA CHATO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji ambaye pia ni Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi katika Uwanja wa Ndege wa Geita aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Januari 11, 2021 Rais …

Soma zaidi »

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA WANG YI ATEMBELEA MWALO WA SAMAKI WA CHATO MKOANI GEITA

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Mashimba Ndaki akimpatiamaelezo Waziri wa  Mambo ya Nje wa China Mhe. Wang Yi kuhusu samaki waaina mbalimbali na minofu yao wanaopatikana katika Ziwa Victoriawakati mgeni huyo alipotembelea Mwalo wa Chato mkoani Geita mapemaasubuhi ya leo Ijumaa Januari 8, 2021 Waziri wa Mifugo na Uvuvi …

Soma zaidi »

KAMPUNI YA GGML NA HALMASHAURI YA MJI WA GEITA WAMESAINI MAKUBALIANO YA MPANGO WA KUSAIDIA JAMII WENYE THAMANI YA SH BIL 9.2

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Richard Jordinson (kulia) akikabidhi mkataba wa makubaliano Mpango wa uwajibika kwa jamii mwaka huu (CSR) kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (kushoto) Mkuu wa Sheria kutoka Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML), David Nzaligo na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni …

Soma zaidi »

SERIKALI YATOA MSAMAHA WA KODI KWA MRADI WA UMEME GEITA – NYAKANAZI

Kasi ya Utekelezaji Mradi Mkubwa wa Kusafirisha umeme katika msongo wa Kilovolti 220 wa Geita-Nyakanazi wenye urefu wa kilomita 144 na unaosimamiwa na TANESCO imezidi kuongezeka baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha kutoa msamaha rasmi wa kodi ambayo ni zaidi ya takriban bilioni 25.Meneja wa mradi kutoka …

Soma zaidi »

SOKO LA DHAHABU MKOANI GEITA LACHANGIA MAPATO YA SERIKALI KUPITIA MRABAHA NA ADA YA UKAGUZI KWA JUMLA YA BILIONI 36.57

Na Nuru Mwasampeta, WM WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amewataka Watanzania kuutazama mchango wa sekta ya madini kwa namna unavyosaidia kuinua sekta nyingine za uchumi, kwani tayari kwa upande wa kuongezeka kwa ukusanyaji wa maduhuli sekta hiyo imeonesha mafanikio makubwa. “Niliwaambia wenzangu wizarani, lazima tuhame sasa kwenye mfumo wa kufurahia …

Soma zaidi »