Dhamira ya Mhe Rais Dkt. Samia ni kuwaleta Watanzania wote pamoja, bila kujali tofauti zao, ili kwa pamoja waweze kushiriki katika safari ya kujenga Tanzania ya kesho yenye mafanikio na ustawi kwa wote

Ni mwito wa kuwa na upendo kwa nchi, kuipa kipaumbele Tanzania na kuhakikisha kwamba kila hatua inayochukuliwa inasaidia katika kujenga taifa bora kwa vizazi vijavyo. #MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tusikubali Kuwa Tarumbeta za Watu Wasio Tutakia Mema”

“Tusikubali kuwa tarumbeta za Watu wasio tutakia mema, Maadili Yetu Mazuri Ya Kitanzania Lazima Tuyatunze, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *