Maktaba ya Kila Siku: August 29, 2024

Wananchi Msomela Wapongeza Juhudi za Serikali, Huduma za Afya, Elimu na Maji Zawaletea Maendeleo

Wananchi wa Msomela wameonesha furaha na shukrani kwa jitihada za serikali kuhakikisha kwamba wanapata huduma muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Huduma za afya zimeimarika, huku kituo cha afya kijijini kikitoa huduma bora na za uhakika, na kuzuia magonjwa yanayoweza kuzuilika. Aidha, upatikanaji wa elimu umeboreshwa kwa kujengwa kwa …

Soma zaidi »