“Uchafuzi wa mazingira katika Majiji, Miji na Halmashauri bado ni tatizo”

Makamu wa Rais ametoa maagizo wakati akifungua Kongamano la Wadau wa Mazingira lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es Salaam.

Amesema uchafuzi wa mazingira katika Majiji, Miji na Halmashauri bado ni tatizo huku uharibifu wa misitu ukiendelea kuwa changamoto licha ya kuwepo kwa vyombo vya kuishauri Serikali juu ya masuala ya utunzaji wa misitu na mazingira pamoja na kuwepo kwa Sheria ndogo katika ngazi ya Serikali za mitaa. #NEMC #Katibanasheria #Ikulu #KaziIendelee #SSH #CCM #Nchiyangukwanza #Ikulu #CCM #SSH

Ad
Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tusikubali Kuwa Tarumbeta za Watu Wasio Tutakia Mema”

“Tusikubali kuwa tarumbeta za Watu wasio tutakia mema, Maadili Yetu Mazuri Ya Kitanzania Lazima Tuyatunze, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *